Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,226
- 68,242
Jamaa anatangaza bolu dakika tano, dakika 40 anasimulia mambo ambayo hayana hata umuhimu, kipindi kinakuwa kimeisha anaboa sana.
“ametokea stade malieee akiwa MVP, akaenda kwenye kikosi cha kocha Gamondi akiwa na depu”
“Djigui Diarra alienda kumfata refa pale maana anatabia za uongozi alikua captain stade malien”
😂😂😂
Badilika mwanetu Kilwa Finest
“ametokea stade malieee akiwa MVP, akaenda kwenye kikosi cha kocha Gamondi akiwa na depu”
“Djigui Diarra alienda kumfata refa pale maana anatabia za uongozi alikua captain stade malien”
😂😂😂
Badilika mwanetu Kilwa Finest