mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 22,477
- 21,025
Habarini wadau,
Hapa nazungumzia wale ambao wako ready to mingle kwa wale ambao mmeshavutana na kuwekana ndani utatoa tu experience yako.
Kwa maisha ya siku hizi wanaume wengi wa mjini unapoomba mtoko lazima ujipange ili uonekane unaenda na wakati na kujitoa ile aibu ya mtu mwenyewe ni mchovu tu ,ukiangalia kiundani kati ya wawili hawa kuna mmoja lazima awe anaunguza engine (anatumia energy sana) ili aweze Ku accommodate kukutana na mwenzie that's why siku mwanaume akiomba mtoko we mtoto wa kike uwe na assumption hizi kichwani mwako either ni mwisho wa mwezi (salary imetoka) ndo maana mitoko inakua mingi mwisho na mwanzo wa mwezi katikati inakua adimu.....hata mood ya mapenzi sio nzuri pia, amelipwa deni lake au inawezekana biashara imepiga profit ya kutosha, seminar na safari zimelipa pia au mavuno yameuzwa(wakulima).
Zipo siku unakua na hamu ya kukutana nae mpenzi ila kama mfuko hausomi unaamua kughairi kupanga appointment
Kwa formula hiyo hapo juu utagundua mitoko is directly proportional na income status ya mtu ya siku hiyo !!kwa mtindo huu me na conclude Gharama za outing zina control frequency ya wapendanao kukutana so usishangae kuona unadai kuonana na boyfriend ukaambiwa niko busy hadi siku fulani (hasa kwa mwanamke ambaye ana ile ideology ya ...Bure bure bure...and the viceversa is true).
Tena mwingine ukitoka out simple usipo spend fedha anaku judge humpendi, bahili, umefulia etc na maswali yakujiuliza kama huyu akinioa hata 50000 ya wigi atatoa?
Au wadau wenzangu nadanganya hapa? Namaliza hivi "To every mtoko there is energy and somone ameumia behind"
Evelyn Salt Mtambuzi Madame B Mentor BADILI TABIA Mashaxizo Heaven on Earth Watu8 @M011 Kim nana Khantwe Mr Rocky Tized miss chagga masai dada Karucee nimekumis dear tunatoka lini?�� Malaika mimi
Hapa nazungumzia wale ambao wako ready to mingle kwa wale ambao mmeshavutana na kuwekana ndani utatoa tu experience yako.
Kwa maisha ya siku hizi wanaume wengi wa mjini unapoomba mtoko lazima ujipange ili uonekane unaenda na wakati na kujitoa ile aibu ya mtu mwenyewe ni mchovu tu ,ukiangalia kiundani kati ya wawili hawa kuna mmoja lazima awe anaunguza engine (anatumia energy sana) ili aweze Ku accommodate kukutana na mwenzie that's why siku mwanaume akiomba mtoko we mtoto wa kike uwe na assumption hizi kichwani mwako either ni mwisho wa mwezi (salary imetoka) ndo maana mitoko inakua mingi mwisho na mwanzo wa mwezi katikati inakua adimu.....hata mood ya mapenzi sio nzuri pia, amelipwa deni lake au inawezekana biashara imepiga profit ya kutosha, seminar na safari zimelipa pia au mavuno yameuzwa(wakulima).
Zipo siku unakua na hamu ya kukutana nae mpenzi ila kama mfuko hausomi unaamua kughairi kupanga appointment
Kwa formula hiyo hapo juu utagundua mitoko is directly proportional na income status ya mtu ya siku hiyo !!kwa mtindo huu me na conclude Gharama za outing zina control frequency ya wapendanao kukutana so usishangae kuona unadai kuonana na boyfriend ukaambiwa niko busy hadi siku fulani (hasa kwa mwanamke ambaye ana ile ideology ya ...Bure bure bure...and the viceversa is true).
Tena mwingine ukitoka out simple usipo spend fedha anaku judge humpendi, bahili, umefulia etc na maswali yakujiuliza kama huyu akinioa hata 50000 ya wigi atatoa?
Au wadau wenzangu nadanganya hapa? Namaliza hivi "To every mtoko there is energy and somone ameumia behind"
Evelyn Salt Mtambuzi Madame B Mentor BADILI TABIA Mashaxizo Heaven on Earth Watu8 @M011 Kim nana Khantwe Mr Rocky Tized miss chagga masai dada Karucee nimekumis dear tunatoka lini?�� Malaika mimi