Gharama za Photo Printers!

Gharama za Photo Printers!

Gagurito

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2011
Posts
5,600
Reaction score
811
Naombeni msaada wa maelekezo yenu juu ya aina gani nzuri ya Printer kwa ajili ya kusafishia picha za digital studio na bei zake. PRINTER YA KISASA KABISA ITAKAYONIWEZESHA KUFANYA BIASHARA KWANI NIPO KTK MCHAKATO WA KUMILIKI PHOTO STUDIO.
 
Naombeni msaada wa maelekezo yenu juu ya aina gani nzuri ya Printer kwa ajili ya kusafishia picha za digital studio na bei zake. PRINTER YA KISASA KABISA ITAKAYONIWEZESHA KUFANYA BIASHARA KWANI NIPO KTK MCHAKATO WA KUMILIKI PHOTO STUDIO.

nunua epson mkuu toleo nimelisahau kidogo ila inauzwa 350000
 
inakuwa na wino wa kujaza pembeni kwa nyuma mkuu
Mfumo huo unaitwa CISS (Continuous ink system supply) ni mzuri sana na gharama yake ni nafuu, tatizo kupata hayo matank yake ndio kazi kwani bei yake iko juu ukiongezea pesa kidogo tu unanua priter nyingine..

Ila ukifanikiwa kuyapata ni mazuri na utapata faida kubwa sana kama unawateja wakutosha.
 
Mfumo huo unaitwa CISS (Continuous ink system supply) ni mzuri sana na gharama yake ni nafuu, tatizo kupata hayo matank yake ndio kazi kwani bei yake iko juu ukiongezea pesa kidogo tu unanua priter nyingine..

Ila ukifanikiwa kuyapata ni mazuri na utapata faida kubwa sana kama unawateja wakutosha.

Printer yenyewe ndio ipi mkuu? mwongozo pls!
 
Unanishaurije hapo?
inategemea unanunua kwa matumizi gani?, kama ni biashara angalia na mzunguko wa biashara yako na demand...na kama ni matumizi binafsi kuna printer ndogo zaidi na bei nafuu
 
Mfumo huo unaitwa CISS (Continuous ink system supply) ni mzuri sana na gharama yake ni nafuu, tatizo kupata hayo matank yake ndio kazi kwani bei yake iko juu ukiongezea pesa kidogo tu unanua priter nyingine..

Ila ukifanikiwa kuyapata ni mazuri na utapata faida kubwa sana kama unawateja wakutosha.

Weka aina za printer na bei zake pamoja na faida na hasara zake ili wadau tujue zaidi. Hiyo nyingine ambayo haitumia ciss ni ipi?
 
inategemea unanunua kwa matumizi gani?, kama ni biashara angalia na mzunguko wa biashara yako na demand...na kama ni matumizi binafsi kuna printer ndogo zaidi na bei nafuu

kwa biashara mkuu. nataka nianzishe mini-studio
 
Back
Top Bottom