Gharama za mafuta zapanda April 2021

Gharama za mafuta zapanda April 2021

Gesi imepanda, mafuta ya kupikia yamepanda, petrol imepanda, sukari imepanda, vifurushi vimepanda...MISHAHARA KWANINI ISIPANDE.
naskia kuna fununu mei mosi hii kuna ongezeko ni "fununu lakini" inaweza nayo ikapita hola
 
Kwa hali ilivyokuwa pale Suez Canal meli nyingi zimechelewa kuleta mizigo kwenye ports of destination, hii imefanya zaidi ya meli 400 za mizigo kukwama gharama itapanda tu.
Tatizo ni mwalimu wako wa jiografia wa std 3 au wewe ndio network inakamata na kuachia! Kumbe mafuta tunayotumia sisi meli zetu zinapitia hapo zikitokea Uturuki na Italia?
AA.jpg
 
Tatizo ni mwalimu wako wa jiografia wa std 3 au wewe ndio network inakamata na kuachia! Kumbe mafuta tunayotumia sisi meli zetu zinapitia hapo zikitokea Uturuki na Italia?
View attachment 1746426
Meli haitoki saudia ikaja straight Tanzania ungeuliza kwanza boss. Hakuna meli inakuja straight to Tanzania 😃
 
Bei iendelee hii hii, kuna kipindi mafuta yalishuka Sana Bei baada ya serikali kuingilia, watu wakaanza kulalama kjwa serikali iache soko liamue bei. Iongezeke ili tupate akili
Bei ya mafuta inapangwa huko kwenye soko la dunia kutokana na demand na supply ,
Ukiona mafuta yanapanda Tanzania ni dunia mzima yamepanda sio kwetu tu.
 
Bei ya mafuta inapangwa huko kwenye soko la dunia kutokana na demand na supply ,
Ukiona mafuta yanapanda Tanzania ni dunia mzima yamepanda sio kwetu tu.
inamaanisha wimbi la pili la corona halija hit vzr ndo maana kuna mfumuko wa kodi
 
Hili ongezeko limekuwa kubwa sana.

Daladala nao watambisha bei soon. Huku Mafuta ya kupikia huku Sukari.
 
Habarini wanajamvi, katika pita pita zangu nimeona gharama za mafuta hapa nchini kwetu Tanzania( Aprili 2021). Kwangu mimi naona zinazidi kupanda tu.Kiukweli mimi sio mtaalamu wa mambo haya lakini naombeni watu watueleweshe inakuaje mafuta yanapanda bei. Sambamba na nini kifanyike bei iwe rafiki kwa watumiaji wa kila siku.View attachment 1745384
bei mpya za mfuta kuanzia tarehe 7 april 2021View attachment 1745386
Yaani Ewura wametuharibia furaha yetu!!!
 
Back
Top Bottom