A2G
JF-Expert Member
- Nov 17, 2016
- 283
- 828
Sure Mkuu, nipo kwenye Process, nilikua nahangaika kupata Packaging Boxes naona Tanzania Hamna, so nimeagiza nje!
Then soon ntaanza!
Mkuu Mimi sio mchoyo, mbona deal kibao huwa nazimwaga hapa...Juzi tu nilileta Tenda ya kusafirisha Mifugo South Sudan....Ukifatilia Thread zangu utaona Luna deal kibao ambazo nimeona siwezi kufanya nimewapa Watu hapa hapa JF.
Hongera mkuu, ishu ya vibali imekaaje? Utaratibu wa vibali kwa huku Bongo na kule Oman ukoje?