Gharama za kupiga plasta nyumba

Gharama za kupiga plasta nyumba

Mdau ni sawa hapo.. sema mililie njaa akupunguziye hadi MILLIONI na laki tano kazi yote na chini kila kitu..

Mifuko 24 Gari mbili za mchanga..

Hongera kwa kujenga kipindi hiki cha mzee magu
Hapa unamaanisha mifuko 24 ya cement kwa gari mbili za mchanga.
 
Mafundi wanawaibia sana watu,kupiga floor ni laki 6? Kupiga plasta hadi milioni vyumba vi3? Poleni mnaoibiwa,kuna mafundi wapo mitaani wazuri na wanapiga kwa bei nzuri,ukienda kichwa kichwa gari kubwa lazima upigwe...mie kuna Fundi alinipigia floor chumba na sebule/chumba mita nne kwa mita nne kwa elfu 40.
Hebu nipatie namba yake uyo Fundi
 
Very good, nami nipo kwenye hizo hatua sasa, nimepata experience hapo, ila niliwah kuona jamaa anahangaika na hizo mnaita koplo unyooshaji mzur wa milango na madirisha aisee ni hatar....ilimchukua muda sana kuna jamaa mmoja humu namuelewa....sitataka fundi cheap, nataka fundi anayefanya viwango na hela yake kwa hii mada tayar nshajiwekea tiki ntampa ngap....ila ntamuuliza kwanza, akija na ndogo sana atanipa wasi wasi hahaaa....sina hela ila jeuri wa kufanyiwa viwango.....

M nahitaji Plasta, skimming, rangi...nyumba vyumba 3, (1 self contained inclussive), Living room, Dinning, Kitchen, Store, Common washroom.

Nahitaji fence, ndefu ambayo kibaka kupanda mpaka aweke ngazi au wabebane wawili, ina 20 kwa 40 urefu wa Mita, nahitaji kuwekewe installation ya CCTV Camera,

Nahitaji leveling nzur coz nimejengea mlimani, na hatua za mita kama 30 hiv pia nahitaji jamvi la kuingilia langon kwangu, coz bila jamvi, mvua ikinyesha gari haipandi hata.

Nahitaji designing ya humo ndan wapi ntaweka nyasi, wapi ntaweka vijingazi coz ya hill, wap ntaweka parking, wapi ntamalizia na paving stones.

Nyumba iko karibu sana na stand ya Mbezi Mwisho, ya Malamba Mawili, kazi hyo itafanyika mwezi June panako majaaliwa ya Mungu
 
Fundi wangu anataka Milioni 1.7 kufanya plasta ndani na nje pamoja na kupiga skimming.

Kutengeneza floor ametaka laki sita pamoja na kuweka timanzi.

Je hizi ni bei halisia kwa nyuma ya vyumba vitatu na sebele na jiko na choo cha public?
Kati ya vile vyumba vitatu viwili ni self contained.
Huyo fundi anakupiga pesa
 
Fundi wangu anataka Milioni 1.7 kufanya plasta ndani na nje pamoja na kupiga skimming.

Kutengeneza floor ametaka laki sita pamoja na kuweka timanzi.

Je hizi ni bei halisia kwa nyuma ya vyumba vitatu na sebele na jiko na choo cha public?
Kati ya vile vyumba vitatu viwili ni self contained.
Naweza pata namba za fundi wako huyu... Naomba nisaidie
 
Huyo anatakiwa kupiga plasta ndani na nje tu alafu skimming unatakiwa ukiwa tayari kwenye stage ya kupiga rangi unampa kazi mpiga rangi afanye kazi yote pamoja na kupiga rangi

Samahani lakini ......timanzi ndo nini mkuu?
kobiro kwa ligha ya mafundi mitaani kichuma kama cone au pia kina kamba kupima ukuta,kithungu Plumb Bob
 
Back
Top Bottom