Labda kwa kuwatumia TBAHaiwezi zidi laki mbili
Labda kwa kuwatumia TBAHaiwezi zidi laki mbili
Fundi wangu alinifanyia 60,000.... Hivi wastani wa gharama kwa chumba ufundi ni how much?
Huyu kauliza plasta tu. Skimming ni gharama tofauti.Kupiga plasta ndani na nje pamoja na kuskimu haipungui milioni moja na laki sita kwa nyumba ya vyumba vitatu
Huko Kigamboni wapo wengi tu tena sasa hivi kazi hamna hawakatai hela.Ila mafundi kama hao wako wapo wachache na inabidi upate reference toka kwa watu
Samahani mkuuHata mm nimeduwaa huyu fundi anavyosema kuwa mifuko saba, ungemquote yeye sio mimi
22Je kama Nahitaji kumwaga jamvi ni mifuko mingapi ya cement kwa ajili ya jamvi tu kwa nyumba hiyo ya vyumba vitatu?
Pande za kawe ukwamaniunapatikana wapi?
Mleta mada ashanielewa, amenijibuHuyu kauliza plasta tu. Skimming ni gharama tofauti.
Fundi wangu anataka Milioni 1.7 kufanya plasta ndani na nje pamoja na kupiga skimming.
Kutengeneza floor ametaka laki na kuweka timanzi laki sita.
Je hizi ni bei halisia kwa nyuma ya vyumba vitatu na sebele na jiko na choo cha public?
Kati ya vile vyumba vitatu viwili ni self contained.
Anakuibia huyo kupiga plaster ndani room moja ni elfu 60 kwa hivyo utatumia kama 180k kazi ya ndani tu mpaka nje unawe tumia kama 360k mpaka 400k kwa kazi yote ya plasta tu.. Hapo bado hujaweka na floor kumbuka hiyo no pesa ya ufundi tu bila materialsFundi wangu anataka Milioni 1.7 kufanya plasta ndani na nje pamoja na kupiga skimming.
Kutengeneza floor ametaka laki sita pamoja na kuweka timanzi.
Je hizi ni bei halisia kwa nyuma ya vyumba vitatu na sebele na jiko na choo cha public?
Kati ya vile vyumba vitatu viwili ni self contained.
Ukiambiwa Nyumba ya vyumba vitatu ujuwe siyo vyakulala tu. Hapo pia kuna Leaving Room. Dinning Room , jiko. Vyoo na kadhalika. Kwahiyo usimnyime Fundi jasho lako.Anakuibia huyo kupiga plaster ndani room moja ni elfu 60 kwa hivyo utatumia kama 180k kazi ya ndani tu mpaka nje unawe tumia kama 360k mpaka 400k kwa kazi yote ya plasta tu.. Hapo bado hujaweka na floor kumbuka hiyo no pesa ya ufundi tu bila materials
Huyu fundi mjanja,anataja vitu vingi ili kazi ionekane kubwa. Plasta nzuri haiwezi kupigwa kabla timanzi haijawekwa, timanzi inatumika kama gage ili kufanya ukuta uwe na unene ulio sawa. Kama ni Mimi ningemuuliza bei ya kupiga plaster bila kuweka timanzi halafu nione atasemajeFundi wangu anataka Milioni 1.7 kufanya plasta ndani na nje pamoja na kupiga skimming.
Kutengeneza floor ametaka laki sita pamoja na kuweka timanzi.
Je hizi ni bei halisia kwa nyuma ya vyumba vitatu na sebele na jiko na choo cha public?
Kati ya vile vyumba vitatu viwili ni self contained.
Mm ni fundi, ukitaka finishing nzuri tafuta fundi atakae kucharge kama ifuatavyoFundi wangu anataka Milioni 1.7 kufanya plasta ndani na nje pamoja na kupiga skimming.
Kutengeneza floor ametaka laki sita pamoja na kuweka timanzi.
Je hizi ni bei halisia kwa nyuma ya vyumba vitatu na sebele na jiko na choo cha public?
Kati ya vile vyumba vitatu viwili ni self contained.
Tasinia ya ufundi mmeidharau Sana. Market price ya hiyo plaster si chini ya 1.3mHuyu fundi mjanja,anataja vitu vingi ili kazi ionekane kubwa. Plasta nzuri haiwezi kupigwa kabla timanzi haijawekwa, timanzi inatumika kama gage ili kufanya ukuta uwe na unene ulio sawa. Kama ni Mimi ningemuuliza bei ya kupiga plaster bila kuweka timanzi halafu nione atasemaje![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna wengine wanaweka bei kubwa sanaTasinia ya ufundi mmeidharau Sana. Market price ya hiyo plaster si chini ya 1.3m
Sio kumbe hata kama upo kanjanja ni vizuri kuchaji bei kubwaMm ni fundi, ukitaka finishing nzuri tafuta fundi atakae kucharge kama ifuatavyo
1. Plaster si chini ya 1mil
2. Skimming pamoja na rangi si chini ya 1.7mil
Ukitaka fundi wa bure bure kama yeye fundi hahitaji mafanikio, Nakutakia Kila la kheri.