Tanzania nzima mc ni gara b pekee?Hela ndogo sana
Mc garab tu anachaji milioni 4 kwa sherehe. Sasa kulipa 30,000 unasemaje ni gharama
Tatizo wanawake ,mambo ya mitandao kila mtu anataka kuiga ..Sherehe za sasa zina phases nyingi mpaka unachoka.Vijana malizeni shuhuli zenu kanisani/Msikitini
Haina noma tuta fanyia chini ya mti
Kumbe ndo ID yako hii naona siku hizi unajitahidi mazoezi kule TikTok unataka vitoto vya 2000 viombe majiHela ndogo sana
Mc garab tu anachaji milioni 4 kwa sherehe. Sasa kulipa 30,000 unasemaje ni gharama
Sijui wanafikiria nini maana kodi zinakuwa nyingi kila sehem.Hii imekaaje mazee kama mtu tayari biashara yako ipo registered TRA then per event unalipia tena halmashauri kwann isibaki kuwa kama kodi tuu
Tunakufuata hapo hapo chini ya mutii kukudai huko hukoHaina noma tuta fanyia chini ya mti
Itafikia hatua watakuwa wanaunganisha harusi na msiba..Tunakufuata hapo hapo chini ya mutii kukudai huko huko
HATAREEE SANAAAAAAItafikia hatua watakuwa wanaunganisha harusi na msiba..