h120
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 2,545
- 3,367
Nilikuwa najaribu kuangalia bei za data kwa mitandao tajwa hapo juu, nilichogundua ni voda na tigo bei zao zafanana kana kwamba walipeana copy za bei mpya baada ya kupanga. nitaweka picha za bei kwa mitandao yote.
AIRTEL
HALOTEL
SMART
Hii ni Kwa 4G data plan DSM tu
Hii 3G data plan mikoani
TIGO
VODACOM
Baada ya kuangalia kwa makini, kwa unafuu wa bei mtiririko upo hivi;
1.Halotel
2.Smart
3.Airtel, Tigo & Voda
Mfano kwa Tsh 65,000 unaweza pata GB 71.6 halotel lakini kwa Tsh 95,000 unapata GB 30 kwa tigo na voda.
Smart naona wana bei tofauti kwa DSM ambako ni 4G tu na Mikoani ambako wanatumia 3G, hawajachambua sana vifurushi vyao.
NB;
Sio tangazo la biashara ila ni uchambuzi wa bei za data, ktk mitandao tajwa, binafsi natumia Tigo na Halotel kwa eneo nililopo.
Taarifa zote zimetoka website rasmi za mitandao husika.
AIRTEL
HALOTEL
SMART
Hii ni Kwa 4G data plan DSM tu
Hii 3G data plan mikoani
TIGO
VODACOM
Baada ya kuangalia kwa makini, kwa unafuu wa bei mtiririko upo hivi;
1.Halotel
2.Smart
3.Airtel, Tigo & Voda
Mfano kwa Tsh 65,000 unaweza pata GB 71.6 halotel lakini kwa Tsh 95,000 unapata GB 30 kwa tigo na voda.
Smart naona wana bei tofauti kwa DSM ambako ni 4G tu na Mikoani ambako wanatumia 3G, hawajachambua sana vifurushi vyao.
NB;
Sio tangazo la biashara ila ni uchambuzi wa bei za data, ktk mitandao tajwa, binafsi natumia Tigo na Halotel kwa eneo nililopo.
Taarifa zote zimetoka website rasmi za mitandao husika.