Ah wapi! Kama kunamtu ananua mb35 kwa sh 1000 basi apimwe akili.Tigo wamezidiwa na wateja. Mtandao wake unasumbua sanaa.
Mkuu! Usidisplay hii kwa watu wengi..wengi watahamia! traffic itakuwa kubwa tutashindwa kuenjoy surfing.Halotel ni mkombozi mb 600 kwa jero utazipata wapi?
Mkuu hebu punguza maneno kidogo... Tiririka hiyo universty offer ya voda.Voda wana offa ,kuna dabo bando via mpesa,kuna ile ofa maalum,kuna university ofa ambayo ni nzur kuliko mtandao wowote..
Kutokana na hizo ofa na kwakujali speed basi voda wmetisha
Hivi ukipewa hata gb 100 za tigo kwa sh 500, sijui hta utazifanyia nini.
Anyway TCRA watusaidie ku control hizi bei.
Nunua kile cha kawaida achana na unlimited... 1.2GB per 1000Tsh.Nao wameanza shusha bundle zao mfano 499 ilikuwa mb 320 now ni 250 tshs 1000 ilikuwa 1gb nw ni mb 650
Hata kama ukinunua dabo bundle ya 95k utapata 60GB wakati halotel una 71.6GB nahisi hawa voda na tigo wanajivunia wingi wa subscribers ila halotel wana speed nzuri na vile vile affordable .Voda wana offa ,kuna dabo bando via mpesa,kuna ile ofa maalum,kuna university ofa ambayo ni nzur kuliko mtandao wowote..
Kutokana na hizo ofa na kwakujali speed basi voda wmetisha
Hivi ukipewa hata gb 100 za tigo kwa sh 500, sijui hta utazifanyia nini.
Anyway TCRA watusaidie ku control hizi bei.
Naomba uweke speedtest ya halotelHata kama ukinunua dabo bundle ya 95k utapata 60GB wakati halotel una 71.6GB nahisi hawa voda na tigo wanajivunia wingi wa subscribers ila halotel wana speed nzuri na vile vile affordable .
Nilipo ni 2.7mpsNaomba uweke speedtest ya halotel
Ungeweka ushahidi ingekua rahisi kukuaminiNilipo ni 2.7mps