Mkuu bado unawahitaji wanyonyaji hao. Mi hata sitaki kuwajua. Nilikuwa mteja wa tigo tangu nimeanza kutumia simu ila kwa sasa nimebaki kuipokelea simu tu. Kuweka vocha au kujiunga bando lolote majaliwa.Voda tg wamelewa mafanikio. Halotel wapo vzr. Na vifurushi vyao haviishi mapema Mb 600 wiki nzima hata ufanyeje kwa net ya cm. Lakini hao wengine watakupa sijui Gb kadhaa lakini DKK chache tu zimeisha. Wasilewe mafanikio waige baadhi ya Huduma halotel. Bado tunawahitaji
Voda ni shidaaaView attachment 425050 VODACOM TANZANIA..hawa jamaa shida
Smart mikoani naona wamesitisha huduma nipo, mbeya network yao inashika, lakini ofisi wamefunga na hata wakiulizwa hawatoi majibu ya kueleweka naona wameamua kukomaa na soko la DSM kwanza.Hapo Sijaona Smile 4G,TTCL 4G na Zantel 3G/4G kwenye List h120
Kwa mtazamo wangu Smart na Smile 4G ndo wana Unlimited pekee kwa mikoa yenye hiyo Network hivo kwa wale ambao ni heavy users ndo mitandao sahihi ya kutumia!
Kwa mobile phones na mtaumizi ya kawaida kwenye Computer labda tunaweza wafikilia hao wengine
ulitumia lini mkuu? hali iko hivyo!Nunua kile cha kawaida achana na unlimited... 1.2GB per 1000Tsh.
Weka speedtest ya halotel ,voda hiyo apo juuAcheni kulinganisha Halotel na mitandao yenu ya hovyo
Ww unatumia 4G ya Vodacom halafu Halotel wana 3G utalinganishaje hapoWeka speedtest ya halotel ,voda hiyo apo juu
Voda 4G wako vizur lakinWw unatumia 4G ya Vodacom halafu Halotel wana 3G utalinganishaje hapo
![]()
Ww unatumia 4G ya Vodacom halafu Halotel wana 3G utalinganishaje hapo
![]()
Haya bwana naona eneo lako linawatumiaji wachache wa Vodacom manake mm 4G yangu ya Vodacom haizidi 10MbsView attachment 425537
Hiyo hapo 3g
Yani kama ulaya vile bado kidogo tuanze kuwafikia kina South Korea.. Kweli Vodacom inaleta heshima nchini.View attachment 425050 VODACOM TANZANIA..hawa jamaa shida