sasa wewe ndo umamsemea huyo mwanamke?. kwani yeye kakwambia kwake kazi ni muhimu kama mume?, au ameacha kazi anaomba pesa kwako?. jaribu kushughulikia haki zako kwanza
Katika hali isiyo ya kawaida mwanamke mmoja (Mhasibu) amejikuta akilazimishwa na mume wake kuacha kazi kwa kisa cha wivu mkubwa wa mwanaume anayehofia kuwa mkewe anaweza kutongozwa na wanaume. Je, hii ni halali? Wanaharakati wa haki za binadamu na wanawake mnasemaje?
of course why not............kasoma kupata maarifa bana not kuajiriwa acha alee watoto
wala hii haihitaji harakati za haki za binadamu, huyo mwanamke kiazi. Anatakiwa afanya harakati za haki ya mhasibu.
huyo mke kama kaacha kazi, nitamshangaa sana........... ulisomeshwa na huyo mume? ya mbele huyajui, huyo mume kesho aki-dead?
huyo kaka anafikiri nyumbani hakuna wanaume wa kuweza kumtongoza huyo mkewe, watongozaji wapo ofisini tu?
Nasikia mwanaume ndiye anayekwenda dukani. Mwanamke anashinda ndani ya geti, hakuna kutoka nje. Saloon haendi, anakwenda saloon za kiume na mumewe kunyoa na siyo kusuka wala kuset. She has lived such a life muda mrefu, amesha zoea kabisa, na aliona kawaida kuacha kazi. Alihitimu masomo ya uhasibu - Diploma mwaka 2010, akapata kazi mara 2 mumewe kamkatalia, mwaka huu March kapata ajira, juzi kaitema kisa mumewe hataki aendelee na kazi. Hawana duka wala kibanda, mumewe ni Mwalimu wa sekondari
Hata sio. . .ni ushauri tu.Lizzy.....are you having my manifesto????? Au we mtabiri???
huyo mke kama kaacha kazi, nitamshangaa sana........... ulisomeshwa na huyo mume? ya mbele huyajui, huyo mume kesho aki-dead?
huyo kaka anafikiri nyumbani hakuna wanaume wa kuweza kumtongoza huyo mkewe, watongozaji wapo ofisini tu?
Katika hali isiyo ya kawaida mwanamke mmoja (Mhasibu) amejikuta akilazimishwa na mume wake kuacha kazi kwa kisa cha wivu mkubwa wa mwanaume anayehofia kuwa mkewe anaweza kutongozwa na wanaume. Je, hii ni halali? Wanaharakati wa haki za binadamu na wanawake mnasemaje?
mume wa hivi namuacha hata kama kanisomesha yeye. yaani kusugua kichwa kwangu miaka yote ya shule niishie kupikia maharage? siku mume wangu atakapoingiza suala la niache kazi ajue achague, mke au kurudia u-bachelor...FP wanaume wengine wana akili za kushikiwa....Wivu wao umezidi kiasi mpaka unaweza kuwa chanzo cha kuvunjika ndoa.
kuna dadangu aliachishwa kazi na mumewe, kisha mshahara wanaomlipa ni kidogo, kwa hiyo atakuwa anamkipa yeye ule mshahara akae home alee watoto. dada akaacha kazi. moto uliwaka siku akina mama waliposikia, mbona alirudi kazini bila ridhaa ya mumewanaume wengi wanaoachisha kazi wake zao sio tu kuwa hawajiamini, bali ni cheaters na wana silka ya kunyanyasa wanawake, anataka mpaka hela pichu mkewe amuombe........
Akishamzalisha ndo mziki unaanza....
Ila huyo mwanamke asiyejitambua nae elimu haijamsaidia.....
Kwa hili mwanaharakati
mkubwa ni mwanamke mwenyewe! Kwani iwapo anatimiziwa kila kitu ana haja
kweli ya kufanya kazi ya kuajiriwa?
Katika hali isiyo ya kawaida mwanamke mmoja (Mhasibu) amejikuta akilazimishwa na mume wake kuacha kazi kwa kisa cha wivu mkubwa wa mwanaume anayehofia kuwa mkewe anaweza kutongozwa na wanaume. Je, hii ni halali? Wanaharakati wa haki za binadamu na wanawake mnasemaje?
Kama Mumewe anakipato kizuri na anaweza kumfungulia biashara sioni tatizo lakini wivu halafu mivuko inatumandu,atokomee zake.