Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,601
- 4,087
WAKUU,
KWA MIMI NINAYETAKA KWENDA GABORONE-BOTSWANA KWA BASI,
NI NJIA IPI NZURI NA NAFUU?
KWA MIMI NINAYETAKA KWENDA GABORONE-BOTSWANA KWA BASI,
NI NJIA IPI NZURI NA NAFUU?
gooodHiyo njia ya Msumbiji ni njia ya watu wa zamani waliokuwa wakipita kule kwa kukosa Passport au Viza.
Safari ya siku 5 huku ukibadilisha magari kama unakwenda Mbinguni ya nini Hiyo kama una mizigo si utaicha njiani?!
Njia nzuri na ya kisasa Unapanda Zako Falcon kutoka Dar mpaka Harare nauli haizidi 150,000 ni safari ya siku mbili tu.
Ukifika Harare unachukua bus pale Harare to Joberg nauli haizidi Rand 300 ambayo kwa pesa ya Kibongo ni chini ya elfu 50.
Ukitoka Harare Jioni Kesho yake asubuhi upo Zako Park Station Joberg unamsubiri muenyeji yako....Kwa mtu mgeni ambae hana uwezo wa kupanda ndege hii ndio njia nyepesi isiyo na gharama
pia uaweza kwenda misugusugu kibaha ukachukua IT hadi zimbabwe kwa laki moja then ukashuka BULAWAYO ukavuka BETBRIGE ukaingia joberg kwaran 80 ambayo kama 10,000 ya kibongo.mimi nilifanya hivyooogoood
True.Dar Harare TZS 110,000 Falcon au Taqwa
Pale Harare mpaka Joburg US $ 30tu kwa hiyo nauli haifiki 200,000
Hapo umenena mkuu nilitaka kushangaaWewe walikupiga ahaaa ahaaa nauli kutoka Dar-Harare Zimbabwe ni 140,000 na bus linapita Lusaka...we walikuuza ticket ya Lusaka kwa Nauli ya Harare...karibu sana mjini
Ukifika Harare road port ndipo yanapofikia mabasi yote hakuna usumbufu usafiri ni muda wote road portNijuwavyo mimi kupitia halale inachukue siku 5 vilevile maana hadi kufika zimbabwe unachukua siku mbili pia ukifika harare kwenda park station siku mbili lazima utumie maxmum ya kisafari ila njia raisi ni kutumia ndege tu
kweli mkuu. Pia kwa sisi wazee tunapanda gari from dar to tunduma, then from tunduma to lusaka hapo lusaka kuna mabasi kama 20 hivi yanayoenda joburg kila siku ila mazuri na ya uhakika ni JULDAN na SHALOM.Hiyo njia ya Msumbiji ni njia ya watu wa zamani waliokuwa wakipita kule kwa kukosa Passport au Viza.
Safari ya siku 5 huku ukibadilisha magari kama unakwenda Mbinguni ya nini Hiyo kama una mizigo si utaicha njiani?!
Njia nzuri na ya kisasa Unapanda Zako Falcon kutoka Dar mpaka Harare nauli haizidi 150,000 ni safari ya siku mbili tu.
Ukifika Harare unachukua bus pale Harare to Joberg nauli haizidi Rand 300 ambayo kwa pesa ya Kibongo ni chini ya elfu 50.
Ukitoka Harare Jioni Kesho yake asubuhi upo Zako Park Station Joberg unamsubiri muenyeji yako....Kwa mtu mgeni ambae hana uwezo wa kupanda ndege hii ndio njia nyepesi isiyo na gharama
ha ha ha Shibekijijini yupo capetown anakula bata sasa hivi. Hataki story na watu wa jf tena, mlikuwa mnamkatisha tamaa tu.Nilichogundua hapa wengi ni wababaishaji hawajawahi kufika bondeni, Shibekijijini njoo utasaidie huku wewe umeenda juzi hapa.
Kama huna mwenyeji kaka hotel, lodge, bei zake zikojee hizi za kawaidaaaHiyo njia ya Msumbiji ni njia ya watu wa zamani waliokuwa wakipita kule kwa kukosa Passport au Viza.
Safari ya siku 5 huku ukibadilisha magari kama unakwenda Mbinguni ya nini Hiyo kama una mizigo si utaicha njiani?!
Njia nzuri na ya kisasa Unapanda Zako Falcon kutoka Dar mpaka Harare nauli haizidi 150,000 ni safari ya siku mbili tu.
Ukifika Harare unachukua bus pale Harare to Joberg nauli haizidi Rand 300 ambayo kwa pesa ya Kibongo ni chini ya elfu 50.
Ukitoka Harare Jioni Kesho yake asubuhi upo Zako Park Station Joberg unamsubiri muenyeji yako....Kwa mtu mgeni ambae hana uwezo wa kupanda ndege hii ndio njia nyepesi isiyo na gharama
Unaweza kuangalia umbali wa kutoka Dar-tunduma km ngapi na tunduma - Lusaka km ngapi kama Dar hadi tunduma ni 45k tsh haiwezekani tunduma-lusaka iwe 100k tshWewe walikupiga ahaaa ahaaa nauli kutoka Dar-Harare Zimbabwe ni 140,000 na bus linapita Lusaka...we walikuuza ticket ya Lusaka kwa Nauli ya Harare...karibu sana mjini
Bei zake Zikojeekweli mkuu. Pia kwa sisi wazee tunapanda gari from dar to tunduma, then from tunduma to lusaka hapo lusaka kuna mabasi kama 20 hivi yanayoenda joburg kila siku ila mazuri na ya uhakika ni JULDAN na SHALOM.
Kwaiyo mkuu gharama ya jumla kwasasa ni kama ngapi kwanzia nauli kituo dar hadi kufika kwa madiba, ukijumlisha gharama za malazi yenye usalama na hadhi ya kipato cha kati na cha chini kwa siku.kweli mkuu. Pia kwa sisi wazee tunapanda gari from dar to tunduma, then from tunduma to lusaka hapo lusaka kuna mabasi kama 20 hivi yanayoenda joburg kila siku ila mazuri na ya uhakika ni JULDAN na SHALOM.
Kwacha 800 kutoka Lusaka hadi Johburg
Dar tunduma tshs. 45,000, tunduma/nakonde to lusaka kwacha 250, lusaka to johburg/south africa kwacha 800.Kwaiyo mkuu gharama ya jumla kwasasa ni kama ngapi kwanzia nauli kituo dar hadi kufika kwa madiba, ukijumlisha gharama za malazi yenye usalama na hadhi ya kipato cha kati na cha chini kwa siku.
Kwa RSA malazi na chakula ni Bei gani kwa siku yaan chakula cha kawaida tuuDar tunduma tshs. 45,000, tunduma/nakonde to lusaka kwacha 250, lusaka to johburg/south africa kwacha 800.
KWACHA MOJA KWA SASA NI SAWA NA TSHS. 127-130. Utapiga mahesabu mwenyewe.
Utaamua kulala kwenye basi au lodge.
Pale lusaka stendi/Intercity lodge nzuri ni kuanzia kwacha 200-300.
NB:HII NJIA NAIJUA VIZURI KWA SABABU HUWA NASAFIRI MARA NYINGI SANA.
NILISHAWAHI KULETA HADI UZI HUMU.
Hako kashikaji nilisikia kalidedi kwenye zile vurugu za South Africa wakati vijana wa Kizulu wanawatimua wahamiaji haramu!ha ha ha Shibekijijini yupo capetown anakula bata sasa hivi. Hataki story na watu wa jf tena, mlikuwa mnamkatisha tamaa tu.
Hii imekaa vizuri kumbe bajeti ya 1m ya bongo naweza kutalii kwa siku 7 Johburg na vichenji vikabaki.Dar tunduma tshs. 45,000, tunduma/nakonde to lusaka kwacha 250, lusaka to johburg/south africa kwacha 800.
KWACHA MOJA KWA SASA NI SAWA NA TSHS. 127-130. Utapiga mahesabu mwenyewe.
Utaamua kulala kwenye basi au lodge.
Pale lusaka stendi/Intercity lodge nzuri ni kuanzia kwacha 200-300.
NB:HII NJIA NAIJUA VIZURI KWA SABABU HUWA NASAFIRI MARA NYINGI SANA.
NILISHAWAHI KULETA HADI UZI HUMU.