Gharama ya nauli Dar - Johanesburg kwa usafiri wa basi

Hii imekaa vizuri kumbe bajeti ya 1m ya bongo naweza kutalii kwa siku 7 Johburg na vichenji vikabaki.
Pamoja na mizunguko ya hapo mjini kwa siku kumi ukiwa na 1.5m, unakwenda na kurudi, kula, kulala na chenji inabaki labda uwe mlevi na malaya ndio itaisha.

Kuna lodge hotel za kawaida za rand 150 hadi rand 300. Hizo ndio za watu wa uchumi wa kati kama sisi.

Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
 
Naomba mnishauli na mimi ambae nataka kwenda south kutafuta maisha kwa kazi yangu hii ya finishing za majumba vipi kunanifaa?
 

Attachments

  • IMG_20201118_173518_904.jpg
    IMG_20201118_173518_904.jpg
    326.5 KB · Views: 12
Mkuu hapo unaongelea hotel,ni vipi kuhusu guest house ambazo kwa huku bongo tunalala kwa 10k huko zinakua ni sh ngapi? Na je? Naweza kufika huko kama sijui lugha ya kingereza?
Lodge za 10K sijawahi ziona labda anzia elfu 25 kwenda juu
 
Iv mpaka Leo hakuna basi za moja kwa moja mpaka jorberg,kam zipo naomba mawasiliano nataka December nikatembee kidogo!
 
Back
Top Bottom