Nipo DSM sitaki boarding nataka niende siku ya mtihani tu na pesa nlio Nayo NI elf 50 kwa ajili ya ada ya kituo je itatosha?Inategemea na mahali mkuu, kituo, history ya kituo katika kufaulisha, mazingira, kama unataka ya boarding nk
Ungesema na mahali ingekuwa poa.
Kuanzia 300,000 +
Nenda mwenge British school pale wanagarama poa ila sio kwa elfu 50Nipo DSM sitaki boarding nataka niende siku ya mtihani tu na pesa nlio Nayo NI elf 50 kwa ajili ya ada ya kituo je itatosha?
Ukikadiria kama sh ngap kaka?Nenda mwenge British school pale wanagarama poa ila sio kwa elfu 50
Maximum ni lakini moja ili uwe full registered maana kuna pesa ya kituo na mtihani wenyeweUkikadiria kama sh ngap kaka?
Sawa kaka ishu ya practical imekaaje maana nataka cbgMaximum ni lakini moja ili uwe full registered maana kuna pesa ya kituo na mtihani wenyewe
Taarifa kamili za practical sina fanya ufike mwengeSawa kaka ishu ya practical imekaaje maana nataka cbg
Nashukuru sana ila hiki kituo NI kipya kwa form 6? maana nimechek matokeo ya mwaka Jana kituo hakipoTaarifa kamili za practical sina fanya ufike mwenge
Mwenge TRA ukifika kuna vituo vingi so it's your option anzia mapambano center IPO karibu na hospital ya mama ngoma kisha pita barabara la africasana utaviona vituo vingine tena sio vya janja janjaNashukuru sana ila hiki kituo NI kipya kwa form 6? maana nimechek matokeo ya mwaka Jana kituo hakipo