Gharama kubwa ya kuoa

Gharama kubwa ya kuoa

Hee na mafuta ya alizeti na boda boda??? Na tigo pesa???? Bado fahari huduma.!!!!!! Mashine za EFDs!!!!!!
 
Mhhh hyo familia wana NJAA KALII,yn mnasubiri mkwe awatoe kimaisha???..badala ya kumsomesha binti na watoto wajitegeme
 
Dawa ni kupiga mimba tu kisha utapasha kiporo kanisani.
 
ndiomana uislam ukasema mahari ni ya mwanamke tu, ye ndo mwenyehaki ya kutaja mahari na wengine hawaruhusiwi kuongeza chochote.
 
khaaaaa jamani this is nt fair kabisa.
bodaboda na bness ya tigo pesa?
huyo binti ni kitega uchumi au?
na yy binti c anakua hali ya mwenza wake kwnn akubali afanyiwe hivyo jamani?
 
Back
Top Bottom