Yahya Jameh alifungua clinic London. Alipoulizwa theory ya uponyaji wake na wazungu aligeuka mbogo.Nitakuwa wa mwisho kuamini hii kitu maana ni mara nyingi waafrica wamekuwa wakiitangazia dunia kugundua dawa ya ukimwi.1991 reserchers wa kikenya walidai kugundua dawa ya ukimwi KEMRON huku wakipata support ya Rais wao Moi aliyedai wagonjwa 50 wamepona . Walipiga sana pesa za watu ikaishia hewani.
Vile vile Mcongo na Mu Egypt walitangaza kugundua dawa wakaipa jina la madikteta wao (Mobutu-Mubarak 1) kifupi MM1 wakajipigia pesa lakini hakuna kitu.
2007 rais wa Gambia nae akadai kugundua dawa.
Mwaka 2002 tena mkuu wa majeshi wa nigeria akaitangazia dunia kwamba wanajeshi wake 30 wamepona ukimwi baada ya kutumia dawa iliyogunduliwa na dr mmoja aliyeitwa Jeremiah Abalaka.Jamaa wakapiga pesa ndefu kabla ya serikali ya nigeria kuipigika marufuku.
Nasema nitakuwa wa mwisho kuamini maana waafrika katika kupiga hela huwa haangalii ..kwake dili ni dili .
Inawezekana kukawa na ukweli kuhusu ugunduzi wa hizi dawa zinazoweza kutibu ukimwi. Hata hivyo kikwazo kinaweza inuliwa hasa hasa na wale wale wanaosadikika kuutengeneza huu ugonjwa. Nia ya vikwazo ni ile ile ya kusudio lao la kuhakikisha waafrika wanapunguzwa kasi ya kuzaana au hata kuacha kuongezeka kabisa. Hujma ni simple tu. Maleria ni ugonjwa wenye tiba iliyokubalika na WHO ila pamoja na dawa kuwepo ndio ugonjwa unao ongoza kuua watu wengi hasa bara la Afrika. Basi kwa kigezo kama hichi dawa ya ukimwi inaweza kupingwa kwa sababu tu katika wagonjwa elfu waliotibiwa ni mia tano tu wamepona. Hivyo kuonekana kwamba haiponyeshi kwa asilimia mia na kujisahaulisha kwamba hata magonjwa mengine dawa haziwaponyishi waathirika wote kwa asilimia mia.Nitakuwa wa mwisho kuamini hii kitu maana ni mara nyingi waafrica wamekuwa wakiitangazia dunia kugundua dawa ya ukimwi.1991 reserchers wa kikenya walidai kugundua dawa ya ukimwi KEMRON huku wakipata support ya Rais wao Moi aliyedai wagonjwa 50 wamepona . Walipiga sana pesa za watu ikaishia hewani.
Vile vile Mcongo na Mu Egypt walitangaza kugundua dawa wakaipa jina la madikteta wao (Mobutu-Mubarak 1) kifupi MM1 wakajipigia pesa lakini hakuna kitu.
2007 rais wa Gambia nae akadai kugundua dawa.
Mwaka 2002 tena mkuu wa majeshi wa nigeria akaitangazia dunia kwamba wanajeshi wake 30 wamepona ukimwi baada ya kutumia dawa iliyogunduliwa na dr mmoja aliyeitwa Jeremiah Abalaka.Jamaa wakapiga pesa ndefu kabla ya serikali ya nigeria kuipigika marufuku.
Nasema nitakuwa wa mwisho kuamini maana waafrika katika kupiga hela huwa haangalii ..kwake dili ni dili .
Hiyo si kweli. Tusisingizie watu. Ni kwamba hakuna taasisi ya nje wala mtu aliyepiga marufuku hizo Dawa zote, isipokuwa wagonjwa waliacha kwenda huko zilikogunduliwa baada ya waliozitumia kuendelea kupukutika. Hakuna taasisi ya nje iliyompiga marufuku babu wa loliondo ila ni wagonjwa waliacha kwenda. Issue ya maralia ni kwamba ilikuwepo kwenye nchi zote za joto, ila kwa lifestyle yetu sisi weusi jinsi tunavyoweka mazingira yetu imetushinda kuiondoa tusilaumu mtu. Nchi nyingi za joto nje ya africa zimeufutilia mbali ugonjwa wa maralia.Inawezekana kukawa na ukweli kuhusu ugunduzi wa hizi dawa zinazoweza kutibu ukimwi. Hata hivyo kikwazo kinaweza inuliwa hasa hasa na wale wale wanaosadikika kuutengeneza huu ugonjwa. Nia ya vikwazo ni ile ile ya kusudio lao la kuhakikisha waafrika wanapunguzwa kasi ya kuzaana au hata kuacha kuongezeka kabisa. Hujma ni simple tu. Maleria ni ugonjwa wenye tiba iliyokubalika na WHO ila pamoja na dawa kuwepo ndio ugonjwa unao ongoza kuua watu wengi hasa bara la Afrika. Basi kwa kigezo kama hichi dawa ya ukimwi inaweza kupingwa kwa sababu tu katika wagonjwa elfu waliotibiwa ni mia tano tu wamepona. Hivyo kuonekana kwamba haiponyeshi kwa asilimia mia na kujisahaulisha kwamba hata magonjwa mengine dawa haziwaponyishi waathirika wote kwa asilimia mia.
Nini kinapelekea kifo kwa mgonjwa anaemeza ARV kama inavotakiwa???At your own risk. Uzuri wake ukianza njugu huondoki na kilo tano![]()
Kusema ukweli anaekunywa dawa ni sawa na mzima tu. kitaalamu wanasema immune system is already surpassed hivyo risk za cancer na kama ni mlevi na mla hovyo hypertension na kisukari. Lakini ni wachache.Nini kinapelekea kifo kwa mgonjwa anaemeza ARV kama inavotakiwa???
Wazungu mwanzo walifikiri UKIMWI ni tatizo la Afrika, lilipowafikia ndipo waligundua kuwa dunia ni kijiji.
Dawa ikipatikana wataitangaza, kumtibu mgonjwa wa HIV kwa ARV za sasa zinagharimu kati ya £400-1000 kwa mwezi, kumbuka kuwa mtu huyu anaweza kuishi miaka 40 ijayo.
Kabisa haiwezekani mzungu atengeneze ndege ipae halafu ashindwe kytengeneza dawa ya ukimwi.Hizi dawa za kutibu maradhi yasababishwayo na AIDS zinagundulika kila wakati karibu kila nchi ila wazungu wakishasikia wanatuma watu wao kwa mgongo wa W.H.O na kuua mfumo mzima wa ugunduzi wakisema kuwa haukidhi vigezo/standards za shirika hilo la afya ulimwenguni.
Waliutengeneza UKIMWI wao eti ili upunguze kasi ya ongezeko la watu shambani kwao (AFRIKA) ingawa ulivuka mipaka ya bara hili pia.
Tanzania ilishawahi kugundua mpaka kinga ila yakaisha kimya kimya (nakumbuka baadhi ya askari polisi walipewa chanjo.........)
Israel mwaka huu pia waligundua ila nadhani hizo dawa wanazogundua wazungu zitawatibu wao tu na watazifanya ghali sana kwa anayezihitaji hasa kutoka Africa, Asia na some southern American countries.
They are making our world so hard everyday.
Ila tusubiri tuone....
Kabisa haiwezekani mzungu atengeneze ndege ipae halafu ashindwe kytengeneza dawa ya ukimwi.
Shock and kill kwa sasa ndiyo tegemeo kubwa la western countries.Tatizo la ukimwi ni kwamba Virusi vyake vinakula "white blood cells" halafu vyenyewe vinakaa badala ya hizo cells.
Mfano wake ni hivi:, ndani ya nyumba umeweka walinzi dhidi ya wahalifu wa kawaida,halafu wanakuja majambazi na silaha kali zaidi ya walinzi, wanaingia ndani wanaua walinzi wanapora mali, wanaweka makazi, wanazaliana na hatimaye wanatoka wote pamoja na watoto wao ambao tayari ni majambazi kwenda kufanya ujambazi katika nyumba zingine na hizo nyumba ndiyo "white cells". Sasa mchakato huo ni endelevu hadi white cells zote zitakapokwisha mwilini ambapo mwili unakuwa hauna ulinzi kabisa ukitambua kuwa "white cells" ndiyo walinzi wa mwili.
Juhudi ya kupata chanjo imekuwa ngumu sana sembuse tiba!! kwasababu chanjo inategemea kupatikana kwa "Antibodies" kutoka kwenye "whitecells" zenyewe ambazo ndizo tayari zinakuwa zimeuliwa na Virusi.
Huu ni ugonjwa ambao umewafanya wanasayansi (medical experts) wawe "vichaa" kwa sababu kila wanapotanzua tatizo moja hapohapo linajitokeza jingine gumu zaidi!! Wamekuwa baffled and weary for all this time with the all modern tools in hand.
Sasa anatokea mtu anagundua dawa,siyo chanjo!!, huyo atakuwa ni mtu aliyebariwa na Mungu tu,
na lazima atatunukiwa zawadi ya Nobel in medicine.
Shock and kill kwa sasa ndiyo tegemeo kubwa la western countries.
Ilikuwapo moja iligunduliwa 2013, 2015 trial cohort walichomwa sindano. Sindano hii unachomwa ukiwa undecteble status . Inaenda kuua hidden virus kwenye T-cell.Ni ajabu sana juu ya Virusi wa AIDS, kila mara wanapogundua "unique behaviour" inayoonyeshwa na hao VIRUS na kuitafutia ufumbuzi baadaye itajitokeza behaviour nyingine wasiyoijua!!.
Je, Shock-kill strategy aitazaa matunda??, Mungu awasaidie.
Mbona kama stori za kikombe cha babu wa loliondo