Get well soon Lady Doctor!

Ugua pole dada nakuombea upone haraka mwenyezi mungu awe nawe
Arushaone pole nawewe najua unateseka naye maana Lady doctor kwa kudeka ila atapona msijali
 
Pole zake sana kwa Lady doctor.. Mungu atamsaidia atapata nafuu.. Arushaone anajua jinsi ya kumuangalia mgonjwa vzuri..
BTW hata mie ninauguliwa shemeji yenu Paloma hakuwa vzuri.. Ila ninashukuru Mungu anaendelea vzuri japo bado yuko hom..
 
Last edited by a moderator:
Pole zake sana kwa Lady doctor.. Mungu atamsaidia atapata nafuu.. Arushaone anajua jinsi ya kumuangalia mgonjwa vzuri..
BTW hata mie ninauguliwa shemeji yenu Paloma hakuwa vzuri.. Ila ninashukuru Mungu anaendelea vzuri japo bado yuko hom..

Huyo Paloma Bishanga alisema sio mgonjwa ila ni mimba changa inamsumbua.. Lea vizuri dogo. Wewe ulikuwa unafurahia kubinuka staili zote tu..., Ndo ukubwa huo..
 
Last edited by a moderator:
yaani kaka hata mie mmenisahau kunipa taarifa kuwa cousin wangu anaumwa vibaya hivyo mlivyofanya
au kwasababu nikko mbali na upeo wa macho yenu?

ugua pole my cousin Lady doctor ninakuombea best wangu wa moyo
 
Last edited by a moderator:
Pole zake sana kwa Lady doctor.. Mungu atamsaidia atapata nafuu.. Arushaone anajua jinsi ya kumuangalia mgonjwa vzuri..
BTW hata mie ninauguliwa shemeji yenu Paloma hakuwa vzuri.. Ila ninashukuru Mungu anaendelea vzuri japo bado yuko hom..
Paloma ajifungue tu....kila siku mgonjwa

sijui katakuwa ka kike au kakiume......
 
Last edited by a moderator:
yaani kaka hata mie mmenisahau kunipa taarifa kuwa cousin wangu anaumwa vibaya hivyo mlivyofanya
au kwasababu nikko mbali na upeo wa macho yenu?

ugua pole my cousin Lady doctor ninakuombea best wangu wa moyo
ladyfurahia wa kumwanya wazima...........

leo ntaenda kumuona Lady doctor hauna chochote cha kumpelekea
 
Last edited by a moderator:
ugua pole Lady doctor na tunakuombea uponaji mwema na Mwenyezi Mungu awe nawe
 
Last edited by a moderator:

Hizi ni habari mbaya!
Get well soon my dear!

From Mr & Mrs Filipo
 
Last edited by a moderator:
Shemejiiii !
Pole sana, aidha nikuombee ahueni ya haraka !
 
Kuugua ni sehemu ya IBADA. Get well soon rafiki.

NB:
Nilitegemea taarifa hizi zitoke kwa chalii wa Arusha Arushaone. Ama umemkabithi Erickb52 akulelee?????.


Narudia tena.
Mungu akuponye na urudi tena jamvini.
 
Last edited by a moderator:
There are currently 4 users browsing this thread. (2 members and 2 guests)



Madame B unajua tumebaki wawili tu humu ndani!!!?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…