Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,484
- 5,142
Poyeeeee DA, get well soon
Ni vyema mkuu kukemea, lkn ni vizuri ujue anachoumwa, maana niliwahi ona mtumishi akimkemea mgonjwa wa minyoo!Jamani! Haya magonjwa yanatatiza sasa!
MUNGU MWENYE MAMLAKA! Natumia nafasi hii kukushukuru maana yote haya ni mpenzi yako!
Na nitaenda kinyume tena kama ni mamlaka ya shetani,nasema hana nafasi kwa huyu ndg yetu kuwepo hapo,naondosha nguvu yote ya pepo wabaya nasema hamna mamlaka kwa jina Yesu Kirsto! Mwachie sasa,mwachie sasa ndg yetu awe huru, toka pepo toka,huna mamlaka kwa mji wa walio hai! Toka pepo,toka pepo na urudi kuzimu ndiyo makao yako! Kwa jina la Yesu Kirsto hauna Mamlaka kamwe! Shindwa pepo,shindwa pepo! Dena Amsi uko huru kwa uwezo MUNGU kupitia jina la mwanae Yesu Kirsto mwenye mamlaka Dunia na Mbinguni! Na uwe na wakati mzuri kwa Jina la Yesu Kirsto Bwana! Amen!
Wapendwa wote nawashukuru but nimekatazwa kuwa na simu wala laptop nahitaji kupumzika kwa sana. Happy New Year to u all me penda wote sana.
mambo mtoto?
huyo TF mhuni tu,michango yote ya kumuuguzia dena kala huyo!
jibibi na mimvi yangu waniita mtoto! Ngoja niangalie sheria za jf zinasemaje, hii itakuwa age calling.
simu yake niko nayo mimi,piga tu nitampokelea.dah! Pole mpendwa. Washa simu umpe mtu akupokelee aisee.
Wapendwa wote nawashukuru but nimekatazwa kuwa na simu wala laptop nahitaji kupumzika kwa sana. Happy New Year to u all me penda wote sana.
Ni vyema mkuu kukemea, lkn ni vizuri ujue anachoumwa, maana niliwahi ona mtumishi akimkemea mgonjwa wa minyoo!
Wapendwa wote nawashukuru but nimekatazwa kuwa na simu wala laptop nahitaji kupumzika kwa sana. Happy New Year to u all me penda wote sana.
Pole sana na wewe
Upone haraka tunakuombea sana
pole Mkuu,nakutakia a quick recovery!
jibibi na mimvi yangu waniita mtoto! Ngoja niangalie sheria za jf zinasemaje, hii itakuwa age calling.