sirluta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 6,324
- 2,494
Kuna tabia ni ya siku nyingi ila inazidi kuongezeka kutokana na ongezeko la magari ya watu binafsi.
Yaani mnapaki gari kando ya barabara, vioo vinafungwa, ukipita unaona gari linanesa nesa hapo utajua kuna shughuli inaendelea huko ndani.
Mchana kweupe, wengine hadi kwenye parking.
Tuje maofisini. Hasa kwa madaktari!
Mwanamke unaenda kujiachia ofisini kwa daktari huku kuna wagonjwa wanasubiri huduma nje?
Aibuuu.
Yaani mnapaki gari kando ya barabara, vioo vinafungwa, ukipita unaona gari linanesa nesa hapo utajua kuna shughuli inaendelea huko ndani.
Mchana kweupe, wengine hadi kwenye parking.
Tuje maofisini. Hasa kwa madaktari!
Mwanamke unaenda kujiachia ofisini kwa daktari huku kuna wagonjwa wanasubiri huduma nje?
Aibuuu.