GE2025 Gerson Msigwa: Wanaotangaza hakuna Uchaguzi 2025 wanapoteza muda na wanafurahisha genge

GE2025 Gerson Msigwa: Wanaotangaza hakuna Uchaguzi 2025 wanapoteza muda na wanafurahisha genge

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
3,177
Reaction score
7,472
Akizungumza katika mahojiano na Kituo cha UTV, leo Jumatatu Oktoba 13, 2025, Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa anasema:

‘Watanzania wawe na amani, kila kitu kitu kinaenda swa, Oktoba 29 waende wakapige kura, kwa sasa wasikilize wagombea ili ikifika siku hiyo wakafanye maamuzi sahihi.’

Kuhusu maandamano
Anasema hakuna Mtanzania anayeweza kufanya hivyo kinyume na utaratibu.

Katiba inaeleza kuhusu haki ya kufanya maandamano, kama mnasisitiza watu watumie haki yao kupiga kura, kwanini mnazuia haki ya kuadamana?

“Serikali haijazuia haki ya Mwananchi, mkitaka kuandamana kukusanyika upo utaratibu wa kufuata na kuzingatia.

“Vyombo vya Usalama vinawajibu wa kuangalia lengo la mkusanyiko ni lipi? Kama kuna nia mbaya basi hawataruhusu hilo.

“Unapokuja na hoja ya kuwa utazuia uchaguzi unategemea Serikali iache na iruhusu hilo? Ni jukumu la Serikali kuwahakikishia taifa lipo salama.

“Jukumu la kwanza na la msingi la Serikali ni kuhakikisha Watu wanapata haki zao na Taifa linakuwa salama.”
 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 
Uyo huwa ni msengeee tu sa kama mnajiamin ivi kwann hamtaki katiba mpya au reforms kwny tume mamamaeee wallah halafu mbona hujamjibu captain tesha..
 
Ngoja hiyo siku ifike halafu tuone nani ni mshindi.
 
Back
Top Bottom