Gerson Msigwa siasa zimekufanya usahau ulipotoka? Acha kudharau watanzania

Memento

JF-Expert Member
Jun 13, 2021
4,423
9,962
Niliwahi kuamini kuwa Gerson Msigwa ni Mtu makini sana na ana hofu ya Mungu, kumbe sio nilivyofikiri.
Gerson Siasa za kuendelea kupata madaraka katika serikali zimekufanya usahau ulipotoka, tatizo nini nyie wenzetu ambao mpo huko mnatuongoza?
Ni kweli kabisa hamfahamu maisha halisi ya watanzania? Kuweni na huruma
Kwa nguvu na ulazima mmeweka hizo tozo na kuhakikisha hilo linaendelea unasema kabisa kuwa hiyo ni sheria haibadiliki.
Gerson ni kweli ndugu zako wote wana maisha mazuri kiasi kwamba haya mabadiliko hayawaumizi? Wenzetu nyie mtakaa na hivi vyeo milele?
Leo umelinganisha maisha ya watu wa ulaya na watanzania, tena unasema kabisa hata ulaya bando ghali hivyo watu waache kulalamika.
Gerson ni kweli wastani wa kipato cha mtu wa ulaya ni sawa na cha watanzania huku? Hili hulifahamu au siasa za madaraka zimekufanya uwe hivi?
Bado nipo katika mshangao kuona mtu Kama wewe unashindwa kujua hali halisi ya maisha ya mtanzania na maisha ya watu wa huko ulaya.
Gerson naomba msiwe na hizi dharau, haya maisha ni ya kupita tu
Mkiwa na nafasi kubwa huko serikalini wafikirieni na ambao hawana kitu na ambao ndio idadi kubwa ya watanzania.
20210828_171734.jpg
 
Hivi tunahitaji tuzidi kumiminiwa misaada ya ufadhili kutoka kwa wahisani wetu?!!!

Hivi fedha wanazotupa zinamwagika kutoka mawingu ya DENMARK na wenzao wengine wa NORDIC?!!!

Ni lini tutaujua uchungu wa kulijenga taifa letu kwa KULIPA KODI NA KUZISTAHAMILI TOZO mbalimbali?!!!!!


#TozoNiMuhimuKwaTaifaLetu
#NchiHujengwaKwaJashoNaDamu
#SiempreJMT
#KaziIendelee
 
Niliwahi kuamini kuwa Gerson Msigwa ni Mtu makini sana na ana hofu ya Mungu, kumbe sio nilivyofikiri.
Gerson Siasa za kuendelea kupata madaraka katika serikali zimekufanya usahau ulipotoka, tatizo nini nyie wenzetu ambao mpo huko mnatuongoza?
Ni kweli kabisa hamfahamu maisha halisi ya watanzania? Kuweni na huruma
Kwa nguvu na ulazima mmeweka hizo tozo na kuhakikisha hilo linaendelea unasema kabisa kuwa hiyo ni sheria haibadiliki.
Gerson ni kweli ndugu zako wote wana maisha mazuri kiasi kwamba haya mabadiliko hayawaumizi? Wenzetu nyie mtakaa na hivi vyeo milele?
Leo umelinganisha maisha ya watu wa ulaya na watanzania, tena unasema kabisa hata ulaya bando ghali hivyo watu waache kulalamika.
Gerson ni kweli wastani wa kipato cha mtu wa ulaya ni sawa na cha watanzania huku? Hili hulifahamu au siasa za madaraka zimekufanya uwe hivi?
Bado nipo katika mshangao kuona mtu Kama wewe unashindwa kujua hali halisi ya maisha ya mtanzania na maisha ya watu wa huko ulaya.
Gerson naomba msiwe na hizi dharau, haya maisha ni ya kupita tu
Mkiwa na nafasi kubwa huko serikalini wafikirieni na ambao hawana kitu na ambao ndio idadi kubwa ya watanzania.
View attachment 1912909
Kweli amelewa wake ndugu zake huko iringa na makete sijui kama wanamuelwa acha tu muda utaongea alipokuwa TBC huyu alikuwa choka mbaya Songea huko.....leo dhsrau na kibri
Naomba kumtetea Msigwa, alichosema ni ukweli mtupu!.

Kuna baadhi ya vitu na huduma hapa Tanzania ni cheap kuliko sehemu nyingine, ila Watanzania wasio na exposure hali ikoje huko kwingimeko duniani, ni walalamishi sana, mpaka basi. Tanzania tuko kwenye mtangamano wa nchi za Africa Mashariki, mtangamano huo unakwenda stage kwa stage, utakapofikia stage ya free labour migration, mtaona jinsi Kenyans wanakuja kulamba most decent jobs. Tukifika stage ya monetary union and single currency, ndipo Watanzania mtagundua tulikuwa tumedekezwa sana by spoon fed.
Life will really be expensive
P
 
Kama tulishangaa ya Abass Hassan basi tulikuwa hatujaona ya Msigwa
Sheria hubadilishwa nchi hii tena kwa hati ya dharura asituzuge bhana
 
Hivi tunahitaji tuzidi kumiminiwa misaada ya ufadhili kutoka kwa wahisani wetu?!!!

Hivi fedha wanazotupa zinamwagika kutoka mawingu ya DENMARK na wenzao wengine wa NORDIC?!!!

Ni lini tutaujua uchungu wa kulijenga taifa letu kwa KULIPA KODI NA KUZISTAHAMILI TOZO mbalimbali?!!!!!


#TozoNiMuhimuKwaTaifaLetu
#NchiHujengwaKwaJashoNaDamu
#SiempreJMT
#KaziIendelee
Ili uchumi ujengwe ni lazima kuwe na mazingira Bora ya watu wengi kufanya kazi/shughuli zao ambazo ndio zitawafanya walipe Kodi kwa wingi.
Sasa hivi waliojiajiri kwenye kilimo wanapata hasara kwa kuwa Bei za pembejeo zimeongezeka.
Serikali ilipaswa kwanza kuweka ruzuku kwenye pembejeo kusaidia hii sekta ili watu walime sana na wauze sana na hivyo kutafanya Kodi kukusanywa kwa wingi
Sasa kilichopo kila sekta ipo taabani hadi kilimo ambayo ndio inategemewa na watanzia walio wengi(zaidi ya 70%)
Hebu niambie mtaendelea kukusanyaje hizo Kodi na tozo ikiwa umasikini unazidi kuongezeka?
 
Naomba kumtetea Msigwa, alichosema ni ukweli mtupu!.

Kuna baadhi ya vitu na huduma hapa Tanzania ni cheap kuliko sehemu nyingine, ila Watanzania wasio na exposure hali ikoje huko kwingimeko duniani, ni walalamishi sana, mpaka basi. Tanzania tuko kwenye mtangamano wa nchi za Africa Mashariki, mtangamano huo unakwenda stage kwa stage, utakapofikia stage ya free labour migration, mtaona jinsi Kenyans wanakuja kulamba most decent jobs. Tukifika stage ya monetary union and single currency, ndipo Watanzania mtagundua tulikuwa tumedekezwa sana by spoon fed.
Life will really be expensive
P

Ukweli mchungu
💊💉💉💉
 
Umerithi miradi ya kimkakati na kudhamiria kuimaliza....VITUO VYA AFYA NA HOSPITALI ,SGR ,BWAWA LA MWALIMU NYERERE,VYELEZO,MELI MPYA!

Umewarudisha kazini watumishi 4300......

Umeanza kuajiri vijana 8000 waliokuwa mitaani toka wamalize vyuo mwaka 2012...TAMISEMI+WIZARA YA AFYA...ilipita miaka mingi hakuna ajira mpya nyingi.....

Umepandisha madaraja watumishi wa UMMA...

Umefuta TOZO ya RETENTION FEE ya 6% ya HESLB kwa wanufaika wa mikopo ya elimu ya juu.......

Hapohapo UKAONGEZA FEDHA katika mfuko wa HESLB ili waongeze idadi ya wanufaika......

*******************************

UNAPATAJE FEDHA ZOTE HIZO?!!

ZINAANGUKA KUTOKA MBINGUNI?!!!


WATANZANIA TUJIKUMBUSHE KULIJENGA TAIFA LETU KWA JASHO NA DAMU.........


#TozoNiMuhimu
#NchiHaiendiBilaYaVyanzoVipyaVyaMapato
#SiempreJMT
 
Hivi tunahitaji tuzidi kumiminiwa misaada ya ufadhili kutoka kwa wahisani wetu?!!!

Hivi fedha wanazotupa zinamwagika kutoka mawingu ya DENMARK na wenzao wengine wa NORDIC?!!!

Ni lini tutaujua uchungu wa kulijenga taifa letu kwa KULIPA KODI NA KUZISTAHAMILI TOZO mbalimbali?!!!!!


#TozoNiMuhimuKwaTaifaLetu
#NchiHujengwaKwaJashoNaDamu
#SiempreJMT
#KaziIendelee
Kodi tulipe sawa, na huyo mama yenu ajue kubana matumizi
Kwa uzururaji huu tutalipa kodi hadi nywele zinyonyoke na maendeleo hatutapata
 
Naomba kumtetea Msigwa, alichosema ni ukweli mtupu!.

Kuna baadhi ya vitu na huduma hapa Tanzania ni cheap kuliko sehemu nyingine, ila Watanzania wasio na exposure hali ikoje huko kwingimeko duniani, ni walalamishi sana, mpaka basi. Tanzania tuko kwenye mtangamano wa nchi za Africa Mashariki, mtangamano huo unakwenda stage kwa stage, utakapofikia stage ya free labour migration, mtaona jinsi Kenyans wanakuja kulamba most decent jobs. Tukifika stage ya monetary union and single currency, ndipo Watanzania mtagundua tulikuwa tumedekezwa sana by spoon fed.
Life will really be expensive
P
Paskali ni lazima umetetee Msigwa kwenye hili,
Kama mambo mengi yangekuwa rahisi kama unavyosema huu umasiki usingekuwepo
Mnalingaisha Tanzania na nchi nyingine kwenye mabando tu, mbona huduma za kijamii hamlinganishi?
Hizo nchi nyingine si ndio watu wanatibiwa bure? Hiku vipi mbona serikali haitoi matibabu bure?
Mnakazania kuangalia upande mmoja tu, mbona upande wa serikali kutimiza majukumu yao hamuangalii?
 
Umerithi miradi ya kimkakati na kudhamiria kuimaliza....VITUO VYA AFYA NA HOSPITALI ,SGR ,BWAWA LA MWALIMU NYERERE,VYELEZO,MELI MPYA!

Umewarudisha kazini watumishi 4300......

Umeanza kuajiri vijana waliokuwa mitaani toka wamalize vyuo mwaka 2012...TAMISEMI+WIZARA YA AFYA...ilipita miaka mingi hakuna ajira mpya nyingi.....

Umepandisha madaraja watumishi wa UMMA...

Umefuta TOZO ya RETENTION FEE ya 6% ya HESLB kwa wanufaika wa mikopo ya elimu ya juu.......

Hapohapo UKAONGEZA FEDHA katika mfuko wa HESLB ili waongeze idadi ya wanufaika......

*******************************

UNAPATAJE FEDHA ZOTE HIZO?!!

ZINAANGUKA KUTOKA MBINGUNI?!!!


WATANZANIA TUJIKUMBUSHE KULIJENGA TAIFA LETU KWA JASHO NA DAMU.........


#TozoNiMuhimu
#NchiHaiendiBilaYaVyanzoVipyaVyaMapato
#SiempreJMT

🎤🎧🎶🎵🎺🎹
Mziki mkubwa
 
Naomba kumtetea Msigwa, alichosema ni ukweli mtupu!.

Kuna baadhi ya vitu na huduma hapa Tanzania ni cheap kuliko sehemu nyingine, ila Watanzania wasio na exposure hali ikoje huko kwingimeko duniani, ni walalamishi sana, mpaka basi. Tanzania tuko kwenye mtangamano wa nchi za Africa Mashariki, mtangamano huo unakwenda stage kwa stage, utakapofikia stage ya free labour migration, mtaona jinsi Kenyans wanakuja kulamba most decent jobs. Tukifika stage ya monetary union and single currency, ndipo Watanzania mtagundua tulikuwa tumedekezwa sana by spoon fed.
Life will really be expensive
P
Unaweza kufananisha mishahara ya Tanzania kwenye hivyo unavyo viita cheap na mishahara ya nchi gani kwa mfano
Unadhani unaweza kuishi nchi gani nje ya Tz kwa mshahara wa laki tatu?
 
Naomba kumtetea Msigwa, alichosema ni ukweli mtupu!.

Kuna baadhi ya vitu na huduma hapa Tanzania ni cheap kuliko sehemu nyingine, ila Watanzania wasio na exposure hali ikoje huko kwingimeko duniani, ni walalamishi sana, mpaka basi. Tanzania tuko kwenye mtangamano wa nchi za Africa Mashariki, mtangamano huo unakwenda stage kwa stage, utakapofikia stage ya free labour migration, mtaona jinsi Kenyans wanakuja kulamba most decent jobs. Tukifika stage ya monetary union and single currency, ndipo Watanzania mtagundua tulikuwa tumedekezwa sana by spoon fed.
Life will really be expensive
P
Ficha upumbavu wako Pasco,
 
Unaweza kufananisha mishahara ya Tanzania kwenye hivyo unavyo cheap na mishahara ya nchi gani kwa mfano
Unadhani unaweza kuishi nchi gani nje ya Tz kwa mshahara wa laki tatu?
Huyu jamaa sijui amekuwaje aisee
Analinganisha upande mmoja tu. Mbona hasemi kuwa hizo nchi nyingine serikali zao zinatoa matibabu bure?
 
Back
Top Bottom