Gerson Msigwa kaondoka Ikulu nafasi ipo wazi, Pascal Mayalla ana nafasi ya kulamba uteuzi

Heshima sana wanajamvi,

Msemaji/Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu Mheshimiwa Gerson Msigwa hatimae kaondoka Ikulu.

Mheshimiwa Msigwa kapelekwa Idara ya Maelezo kama Mkurugenzi na Msemaji Mkuu wa Serekali. Sijui kama ndio kupanda cheo huko au kushuka,muhimu kaondoka Ikulu.

Mwanajamvi mwenzetu Pascal Mayalla ana sifa zote za kuongoza Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu.Ifahamike ndugu yetu kwa muda mrefu amekuwa ni mtu wa bahati mbaya kila nafasi ikijitokeza anasahaulika sijui kalogwa na nani,hata msukuma mwenzake hakumuona.

Wanajamvi wote wasiokuwa na husda na roho ya korosho tumweke katika maombi mwetu hasa kipindi hiki cha Pasaka akumbukwe katika uteuzi wa nafasi ambayo ipo wazi.

Iwapo Mayalla au njaa atateuliwa hakutakuwa na malalamiko ya ukabila wala udini.

Ngongo safarini Chake Chake,Pemba.
Pascal Mayalla ni mdini pure...rejea Nyuzi zake hasa zilef
zenye malumbano na Mzee Saidi Mohamed
 
Mayalla hawezi kupewa kitengo ikulu kwa sababu ni mropokaji asiyeweza kutunza siri. Kitendo cha kujinasibu humu ndani kwamba baba yake na ndugu zake wamewahi kutumikia idara nyeti kinatosha kabisa kuthibitisha uropokaji wake.
Hata hivyo, mayalla hawezi kukaa na jambo lolote moyoni mwake mara nyingi anapokuwa na kitu rohoni point ya kwanza ni kuja kukianzishia uzi hapa jamii forum. Sasa mtu kama huyu kumpa kitengo ikulu ni sawa na kuivua nchi nguo
 
Heshima sana wanajamvi,

Msemaji/Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu Mheshimiwa Gerson Msigwa hatimae kaondoka Ikulu.

Mheshimiwa Msigwa kapelekwa Idara ya Maelezo kama Mkurugenzi na Msemaji Mkuu wa Serekali. Sijui kama ndio kupanda cheo huko au kushuka,muhimu kaondoka Ikulu.

Mwanajamvi mwenzetu Pascal Mayalla ana sifa zote za kuongoza Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu.Ifahamike ndugu yetu kwa muda mrefu amekuwa ni mtu wa bahati mbaya kila nafasi ikijitokeza anasahaulika sijui kalogwa na nani,hata msukuma mwenzake hakumuona.

Wanajamvi wote wasiokuwa na husda na roho ya korosho tumweke katika maombi mwetu hasa kipindi hiki cha Pasaka akumbukwe katika uteuzi wa nafasi ambayo ipo wazi.

Iwapo Mayalla au njaa atateuliwa hakutakuwa na malalamiko ya ukabila wala udini.

Ngongo safarini Chake Chake,Pemba.
Huyo mchumia tumbo tunampa nafasi ya kua mwandishi wa kaburi kule kilimani,jamaa anazeeka na unafiki wake
 
sawa mayala
Heshima sana wanajamvi,

Msemaji/Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu Mheshimiwa Gerson Msigwa hatimae kaondoka Ikulu.

Mheshimiwa Msigwa kapelekwa Idara ya Maelezo kama Mkurugenzi na Msemaji Mkuu wa Serekali. Sijui kama ndio kupanda cheo huko au kushuka,muhimu kaondoka Ikulu.

Mwanajamvi mwenzetu Pascal Mayalla ana sifa zote za kuongoza Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu.Ifahamike ndugu yetu kwa muda mrefu amekuwa ni mtu wa bahati mbaya kila nafasi ikijitokeza anasahaulika sijui kalogwa na nani,hata msukuma mwenzake hakumuona.

Wanajamvi wote wasiokuwa na husda na roho ya korosho tumweke katika maombi mwetu hasa kipindi hiki cha Pasaka akumbukwe katika uteuzi wa nafasi ambayo ipo wazi.

Iwapo Mayalla au njaa atateuliwa hakutakuwa na malalamiko ya ukabila wala udini.

Ngongo safarini Chake Chake,Pemba.
hongera kwa kujipigia kampeni mama atakuona kipindi hiki
 
Pascal anafaa kukaa huku nje lakini anastahili kuwa mshauri mwandamizi wa masuala ya Public Relations hata kwa wizara ya habari, vyombo na idara za serikali na hata taasisi binafsi. Shida pia nchi yetu haijui kuwatumia watu wa aina hii
 
Back
Top Bottom