mapinduzi daima
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 1,725
- 2,698
Kabaki kuwa KM wa Wizara ya Habari na Utamaduni...Yule msaniia dk Abbas kaperekwa wapi?,au kamwagwa?
Kabaki kuwa KM wa Wizara ya Habari na Utamaduni...Yule msaniia dk Abbas kaperekwa wapi?,au kamwagwa?
Ongeza sauti kidogo sijakusikia!Hii nafasi atailamba Maria Tsehai,Wamuweke yule Mwanaharakati ili achangamshe Ikulu kidogo.Maana kulikuwa kumepoa sana
Si ndio hazina..kwani uzee ni ugonjwa....He is too old
Pascal Mayalla ni mdini pure...rejea Nyuzi zake hasa zilefHeshima sana wanajamvi,
Msemaji/Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu Mheshimiwa Gerson Msigwa hatimae kaondoka Ikulu.
Mheshimiwa Msigwa kapelekwa Idara ya Maelezo kama Mkurugenzi na Msemaji Mkuu wa Serekali. Sijui kama ndio kupanda cheo huko au kushuka,muhimu kaondoka Ikulu.
Mwanajamvi mwenzetu Pascal Mayalla ana sifa zote za kuongoza Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu.Ifahamike ndugu yetu kwa muda mrefu amekuwa ni mtu wa bahati mbaya kila nafasi ikijitokeza anasahaulika sijui kalogwa na nani,hata msukuma mwenzake hakumuona.
Wanajamvi wote wasiokuwa na husda na roho ya korosho tumweke katika maombi mwetu hasa kipindi hiki cha Pasaka akumbukwe katika uteuzi wa nafasi ambayo ipo wazi.
Iwapo Mayalla au njaa atateuliwa hakutakuwa na malalamiko ya ukabila wala udini.
Ngongo safarini Chake Chake,Pemba.
Huyo mchumia tumbo tunampa nafasi ya kua mwandishi wa kaburi kule kilimani,jamaa anazeeka na unafiki wakeHeshima sana wanajamvi,
Msemaji/Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu Mheshimiwa Gerson Msigwa hatimae kaondoka Ikulu.
Mheshimiwa Msigwa kapelekwa Idara ya Maelezo kama Mkurugenzi na Msemaji Mkuu wa Serekali. Sijui kama ndio kupanda cheo huko au kushuka,muhimu kaondoka Ikulu.
Mwanajamvi mwenzetu Pascal Mayalla ana sifa zote za kuongoza Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu.Ifahamike ndugu yetu kwa muda mrefu amekuwa ni mtu wa bahati mbaya kila nafasi ikijitokeza anasahaulika sijui kalogwa na nani,hata msukuma mwenzake hakumuona.
Wanajamvi wote wasiokuwa na husda na roho ya korosho tumweke katika maombi mwetu hasa kipindi hiki cha Pasaka akumbukwe katika uteuzi wa nafasi ambayo ipo wazi.
Iwapo Mayalla au njaa atateuliwa hakutakuwa na malalamiko ya ukabila wala udini.
Ngongo safarini Chake Chake,Pemba.
Mbona yuko vizuri sana,inategemea unamsoma ukiwa angle gani.
hongera kwa kujipigia kampeni mama atakuona kipindi hikiHeshima sana wanajamvi,
Msemaji/Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu Mheshimiwa Gerson Msigwa hatimae kaondoka Ikulu.
Mheshimiwa Msigwa kapelekwa Idara ya Maelezo kama Mkurugenzi na Msemaji Mkuu wa Serekali. Sijui kama ndio kupanda cheo huko au kushuka,muhimu kaondoka Ikulu.
Mwanajamvi mwenzetu Pascal Mayalla ana sifa zote za kuongoza Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu.Ifahamike ndugu yetu kwa muda mrefu amekuwa ni mtu wa bahati mbaya kila nafasi ikijitokeza anasahaulika sijui kalogwa na nani,hata msukuma mwenzake hakumuona.
Wanajamvi wote wasiokuwa na husda na roho ya korosho tumweke katika maombi mwetu hasa kipindi hiki cha Pasaka akumbukwe katika uteuzi wa nafasi ambayo ipo wazi.
Iwapo Mayalla au njaa atateuliwa hakutakuwa na malalamiko ya ukabila wala udini.
Ngongo safarini Chake Chake,Pemba.