Germany president resigns over finances scandals

Kwa wenzetu kujiuzulu ni kulinda hadhi yako na heshma yako mbele ya jamii ila Tz ni kufilisika ie kisiasa na kiuchumi ndo maana come any kashfa watu wanadunda
 
Habari zilizorushwa punde na CNN ni kwamba President Wulff of German amerisign kwa corruption scandle. Prosecutors wanaangalia namna ya kuondoa immunity ili ashitakiwe.

Somo kwetu watanzani kuwa haya mambo yanawezekana!
Jibu la mambo haya Tanzania kutokea ni katiba mpya tuu, hiyo itakuwa na uamuzi sahihi si hii ya longo longo, eti mwizi kaiba arudishe fedha asamehewe sheria za wapi??????

 
jk ni msafi hana kashfa na kama zipo niza kawaida kwa viongozi wa Tz kwa yeye kubwa ni kushindwa kuunda timu yake ya kufanya nayo kazi pamoja na uongozi wake kuwa legelege pasipokuelewa msimamo wake

.............hatujayasema yote kwenye riport yetu ili kuiokoa serikali nzima kuanguka. Lakini waziri mkuu EL apime mwenyewe uzito wa tuhuma zake na kuamua - Mwenyekiti wa uchunguzi wa RICHMOND aka Mwakyembe. Kama PM alisemwa ni nani aliyefichwa ili kuiokoa serikali nzima kuanguka?
 
Habari zilizorushwa punde na CNN ni kwamba President Wulff of German amerisign kwa corruption scandle. Prosecutors wanaangalia namna ya kuondoa immunity ili ashitakiwe.

Somo kwetu watanzani kuwa haya mambo yanawezekana!
Hapa Tz tuna utamaduni wetu wa kuwajibishana huku heshima ya mhusika ikiendelea kutunzwa , tuko radhi kuvunja baraza la mawaziri kisa tu hatutaki ionekane waziri say wa Afya aliharibu amewajibishwa utasikia wengine wamehamishwa au watapangiwa majukumu mengine na mhe. rais. kwa namna hiyo nchi zingine zinaweza kuja kujifunza namna ya kumstahi mwanadamu badala ya kumvua nguo mbele ya kadamnasi. -lol
 
Hatimaye baada ya shinikizo toka kwa wanasiasa, media houses na wananchi katika ujumla wao kuwa kubwa sana, imebidi raisi wa Ujerumani, Bwana Christian Wullf kunyoosha mikono na kukubali yaishe!!

My take:
Jukumu la kuwawajibisha kina JK + wasanii cum mafisadi wenzake ni letu sote! i.e wanasiasa, wanaharakati, media houses, viongozi wa kijamii na kidini, na wananchi wa kawaida ktk ujumla wao! Vinginevyo tutabaki kuambiwa "kelele za mlango hazimnyimi mwenye nyumba usingizi!"
 
Germany's President resigned on Friday after a string of scandals, handing Chancellor Angela Merkel a political headache at home as she battles to lead Europe from its debt crisis.
"I am ... today stepping down from the office of federal president to free up the way quickly for a





successor," Christian Wulff said in a dramatic three-and-a-half-minute televised statement from his Bellevue palace.Germany needs "a president that enjoys the trust of not only a majority, but a broad majority of citizens," said a sombre Wulff, with his wife Bettina at his side.
"The developments of the last days and weeks have shown that this trust and therefore my effectiveness have been damaged.
"For this reason, it is no longer possible to carry out the office of president both domestically and abroad the way it needs to be done," added the head of state.
"I have made mistakes, but I was always honest," he said.
Prosecutors in the Lower Saxony state where Wulff was formerly premier said late Thursday they had asked parliament to lift his immunity in order to investigate allegations he abused his position.
Merkel's hand-picked choice for Germany's head of state has been battered by almost daily allegations in the media that he accepted favours when he was premier of Lower Saxony.
Wulff is from the same conservative Christian Democratic Union (CDU) party as Merkel who cancelled a planned trip to Rome to meet Italian premier Mario Monti on the euro crisis to make her own statement later.
Wulff's role is largely ceremonial but carries important moral weight and the announcement by the prosecutor in Hanover, the capital of Lower Saxony, marks the first time the German parliament has been asked to lift presidential immunity.
The 52-year-old President has been rocked by scandals and allegations since mid-December largely over his connections to wealthy businessmen, initially over an advantageous home loan from a friend's wife.
He then faced claims he tried to hush up the story, as well as reports of free holidays accepted from friends.
But the Hanover prosecutor's case focuses on his relationship with film producer friend David Groenewold who is also facing investigation over dealings between his firm and Lower Saxony while Wulff was state premier.
He also reportedly picked up the bill for Wulff's hotel during a short holiday in 2007. Wulff's lawyers have said he repaid the money in cash later.
Speculation about whether Wulff could remain in office reached fever pitch after the prosecutor's announcement following two months of almost daily media reports about Wulff.
"I assume that the parliamentary commission for immunity and the Bundestag (lower house of parliament) ... will vote in favour of the request by the Hanover prosecutor," deputy head of the CDU parliamentary group Michael Meister told Deutschlandfunk radio.
 
Halafu ukiangalia ufisadi waliopiga wao ni wa juu zaidi kuliko wa Wullf.
Nawasifu sana wanaharakati waliokuwa wameanzisha ishu majuzi pale Selander Bridge!...Ile ilikuwa iwe ndo jumla hadi jamaa arudi Msoga!
 
Hatuwezi kuwarudi wale viongozi wala rushwa, make jeshi la polisi kazi yao kuwalinda!
 
yah, ni uamuzi mzuri kuliko kuwapeleka wananchi ndivyo sivyo ili mradi tu kipindi chako kipite.

miafrica nayo ingeiga mfano huu especially JK.
 
Rais wa German ni Pambo tu kama Rais wa Israel au Italy.

Huyu hana nguvu kabisa kwenye mambo ya nchi. Huyo mama ndiyo BOSS wa mambo huko German na huyo huwezi kumuona akijiuzuru kirahisirahisi hivyo maana nyuma yake ndiyo SERIKALI nzima.

Mfumo wa Tanzania inabidi tuubadili maana sisi Rais kashika kila kitu na PM yupo kama pambo.

PM angelipewa nguvu zaidi hadi awe na uwezo wa kuunda serikali yake, wakiboronga mawaziri, anawatimua.
 
Duh! Huyu alikuwa amepanga kuzuru Tanzania hivi karibuni, na moja ya majukumu yake ilikuwa kufungua makao makuu ya EAC pale Arusha. Sasa sijui itakuwaje!!!
 
Baada ya Rais wa Ujerumani kujiuzulu..SWALI LA MSINGI KWA WATANZANIA WOTE NA HUSUSANI WADAGANYIKA KKUMRADHI, NAMAANISHA WATANGANYIKA, KIKWETE ANAPASWA KUJIUZULU KWA KASHIFA GANI?
Tuweke kashifa au kama wanavyoziita wenyewe scandal ambazo mkuu huyu wa Tanzania anahusika nazo moja kwa moja, kisha mwenyewe apime na mwisho wa mwezi huu atakapo hutubia Taifa ama akanushe au achukue hatua.


Ndugu unatafuta ushahidi wakati ikiwa hata mtoto mdogo Tanzania anajua kuwa sisi Tuna nidhamu za woga. Hakika kama ingelikuwa nchi za wenzetu Uongozi uliopo madarakani (J.K) na timu yake walipaswa kuondolewa na kufunguliwa mashitaka mahakamani. Lakini kwa kuwa Tanzania tuna nidhamu ya woga tunalalamika chinichini na wengine tumeshalambishwa na damu ya Bendera tunaumia lakini tunaweka Itikadi za chama mbele.

Nikupe mfano wetu tulivyo:- Ingelikuwa kwa wenzetu kwanza suala la ubadhirifu wa pesa (EPA na Mikataba feki) na kisha watuhumiwa kufahamika lakini Serikali haina uwezo wa kushughulikia kabisa (MONEY SCANDAL ALSO) walitakiwa J. K. na timu yake watoke madarakani haraka sana.

Pia hali ngumu ya maisha kwa Watazania walalahoi sasa hivi pamoja na mfumuko wa bei, ni sababu tosha wananchi tungeandamana na kuipinga Serikali, na hata Wabunge wangepiga kura ya kuto kuwa na Imani na Raisi. lakini yote hayawezi kufanyika kwa sababu tumelambishwa maji ya Bendera!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Pia kushindwa kusimamia mgogoro wa Madakitari na kusababisha vifo vya watu wasio na hatia, Serikali ilipashwa kuondolewa madarakani. lakini tumeshuhudia badala yake na Askari FFu walijiandaa kumwaga maji washa kwa wanaharakati ikiwa ni pamoja na kuwakamata baadhi ya wanaharakati.

ACHENI NISEME, HATA MKINIMWAGIA MAJI WASHA NITASEMA TU, HATA MKINITIISHA NIPO TAYARI NI HAKI YANGU ACHENI NISEME, HATA MKICHUKIA ACHENI NISEME.....!!!!!!!!!!!!


J. K. NA SERIKALI YAKE HAIFAI INAPASWA KUJIUZULU.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Tanzania yetu hakuna uwajibikaji wa viongozi! Kuboroga ruksa kujiuzulu mwiko!
 
Amini usi amini rafiki mkubwa wa zitto kabwe rais wa U germany aachia ngazi leo hii, huu ndio utakuwa mwisho wa Jeuri ya Zitto kabwe zidi ya chama chake na Jeuri ya chadema zidi ya CCM.................siasa raha utamu.
 
Back
Top Bottom