Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,627
Alikudanganya. Shida yake ni hazijui hizi gari so anaziogopaKuna fundi mmoja mtaalam sana wa magari alinishauri kitu akaniambia achana na hizi nissan,akanisistiza endelea na toyota ukichoka hamia kwenye European Car.
Nimeandika kama kibwagizo,gereji nzuri ni pale kwa jerry mikocheni kama unaelekea kairuki hosp,ukifika wao wataikagua gari ni kukwambia nini kinatakiwa kubadilisha
Sent using Jamii Forums mobile app