Gerald Hando ana nini na serikali?

Gerald Hando ana nini na serikali?

Access Denied

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2012
Posts
655
Reaction score
211
Katika kipindi cha kuperuzi ameanza kutetea kua inawezekana zile fedha tsh mil 150 zilizokua zimeibwa na majambazi kariakoo kisha wananchi kuzinusuru toka mikononi mwa majambazi na kisha kuzikabidhi kwa polisi kisha polisi hao kukabidhi begi tupu kituoni kwamba hao askari hawakugawana fedha hizo. Hando ameendelea na msimamo huo na kua yeye haamini kama askari hao waligawana fedha hizo eneo la jangwani.
Swali ni je yeye ni nani hadi atoe conclusion hiyo mbele ya media kabla hata kamanda kova atakae toa leo matokea ya tume aliyoiunda kuchunguza sakata hilo?
Au ndo Hando anatumika kutuandaa matokeo ya tume hapo badae?
 
Hando lazima aifagilie serikali si unajua PRIME TIME PROMOTION huwa wanapewa fungu na serikali, hata juzi kwenye vikao vya ccm pale CHIMWAGA walipewa tender ya mambo ya sound.
 
Inawezekana hujamuelewa vizuri, na wakati mwingine watu
wa CLOUDS huwa wanatumia lugha fulani ya mzunguko ambayo
inakufanya mtu usichoke kuwasikiliza, mara nyingi huwa
wanachanganya na kautani fulani hivi........ Unatakiwa
kuwasikiliza kwa umakini na usiwe mwepesi wa kuchanganya
chuki zako binafsi wakati unawasikiliza hapo utawaelewa na
kuburudika pia.
 
Hivi huyu hando sijui kama amekua kifikra maana alikuwa anashinda bar mbali mbali na kudandia beer za wateja kwa umaarufu wa kubwabwaja...njaa mbaya sana he is very cheap ,yaani mchumia tumbo!
 
Inawezekana hujamuelewa vizuri, na wakati mwingine watu
wa CLOUDS huwa wanatumia lugha fulani ya mzunguko ambayo
inakufanya mtu usichoke kuwasikiliza, mara nyingi huwa
wanachanganya na kautani fulani hivi........ Unatakiwa
kuwasikiliza kwa umakini na usiwe mwepesi wa kuchanganya
chuki zako binafsi wakati unawasikiliza hapo utawaelewa na
kuburudika pia.

kila siku asieleweke kwenye maswala ya kuitetea serikali inapofanya makosa??
Nina mashaka na uelewa wa hawa watangazaji, huenda ni kweli wana vyeti ila hakuna uhusiano wa vyeti na utendaji wao.
Kati ya majanga yanayoikabili tanzania hii clouds radio ni mojawapo.
 
Inawezekana hujamuelewa vizuri, na wakati mwingine watu
wa CLOUDS huwa wanatumia lugha fulani ya mzunguko ambayo
inakufanya mtu usichoke kuwasikiliza, mara nyingi huwa
wanachanganya na kautani fulani hivi........ Unatakiwa
kuwasikiliza kwa umakini na usiwe mwepesi wa kuchanganya
chuki zako binafsi wakati unawasikiliza hapo utawaelewa na
kuburudika pia.

Safi sana mkuu mimi nakugongea like maana nahisi watu uwa hawaelewi wale uwa wanaweza wakawa kama wanasifia kitu kumbe wanakiponda.
Uwa wana tabia ya kuzunguka mbuyu ndiyo maana mwisho alisema nikigundua kama kweli polisi walizigawana yaani nitalia kwasasa ngoja nisiamini ili nisiumie
 
cloudccm rugeccm hawana jpya hata vipindi vyao hakuna la kujifunza labda michezo otherwise
 
Katika kipindi cha kuperuzi ameanza kutetea kua inawezekana zile fedha tsh mil 150 zilizokua zimeibwa na majambazi kariakoo kisha wananchi kuzinusuru toka mikononi mwa majambazi na kisha kuzikabidhi kwa polisi kisha polisi hao kukabidhi begi tupu kituoni kwamba hao askari hawakugawana fedha hizo. Hando ameendelea na msimamo huo na kua yeye haamini kama askari hao waligawana fedha hizo eneo la jangwani.
Swali ni je yeye ni nani hadi atoe conclusion hiyo mbele ya media kabla hata kamanda kova atakae toa leo matokea ya tume aliyoiunda kuchunguza sakata hilo?
Au ndo Hando anatumika kutuandaa matokeo ya tume hapo badae?

Hando kaongea maoni yake. Na wewe pia umeongea maoni yako. Tunawashukuru. Mwaka mpya mwema.

 
Back
Top Bottom