dev senior
JF-Expert Member
- Aug 12, 2012
- 458
- 557
Wewe ndio kichwa panzi umesahau. Au ulikuwa bado upo shule..Tatzo mna vichwa vya panzi ...hata huu mgao wa sasa kesho kutwa mtausahau tu
Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
Wewe ndio kichwa panzi umesahau. Au ulikuwa bado upo shule..Tatzo mna vichwa vya panzi ...hata huu mgao wa sasa kesho kutwa mtausahau tu
Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
Huku ni kumnanga tuu bure JM, hili la kukatika kwa umeme, kwanza sii kweli kuwa umeme haukukatika kabisa enzi za Kalemani.
Pili JM amelifafanua vizuri sana tuu!.
Kilichofanya umeme haukukatika katika enzi za Kalemani na sasa unakatika katika ni kitu kinachoitwa peak demand
Hii peak demand imeongezeka sasa kuliko enzi za Kalemani!.
P
Kazi yako kutetea upumbavu wa Makamba basi! You are very stupid Tanzania ulikuwepo wewe tu! ?Watu mnapenda sana kujisahaulisha.Mgao ulikuwa mkali mno.
Nadhani hoja zijibiwe. Mimi na wewe tunahoji kila siku tumepewa ngapiGerald Hando...paid journalist...wanarudia zoezi lile lile yeye na Kipanya walivyofanya kazi maalum Kwa Dr Idrisa..haadi akatolewa...wakaingia watu wa Ngeleha zikapigwa bilioni 500...
Mkuu una Maslahi yoyote ya Kibinafsi na January Makamba?Kwenye michezo ya siasa huwa kuna "twisting angle and plot"
Ni kweli kabisa kuna shida ya umeme ...na ni kweli kabisa wakati wa Magufuli shida ya umeme ilikuwepo lakini sio kubwa kama sasa ..
Sasa kinacho fata ni watu wenye agenda maalum kutumia hili tatizo Ku twist angle and plot....Kwa maslahi Yao maalum na hapo ndo Gerald Hando anapolipwa pesa Kwa kazi maalum
Huku ni kumnanga tuu bure JM, hili la kukatika kwa umeme, kwanza sii kweli kuwa umeme haukukatika kabisa enzi za Kalemani.
Pili JM amelifafanua vizuri sana tuu!.
Kilichofanya umeme haukukatika katika enzi za Kalemani na sasa unakatika katika ni kitu kinachoitwa peak demand
Hii peak demand imeongezeka sasa kuliko enzi za Kalemani!.
P
Mhhh mgao haujawahi kuwepo enzi ya Magu, japo umeme ulikuwa unakatika kawaida na hata mgao haukuwepo na kumbuka hata maji hakukuwa na mgao home sisi tank lenyewe tuliligawa,juzi baada ya kutangaza mgao nimenunua tank lingine.Actually mgao upo kila mwaka.. tofauti ni kuwa walikuwa hawatangazi official na mgao haukuwa mkali kama wa mwaka huu...hata WA mwaka huu ulianza kabla haujatangazwa....
Ukifikiri kwa kutumia tumbo lazima uwe na ugonjwa wa kusahau sahau... Awamu zote za ccm kuwepo madarakani ni za hovyo tuWewe ndio kichwa panzi umesahau. Au ulikuwa bado upo shule..
Mkuu joseph1989, niwe mkweli vipi wakati this is from the horses mouth Kilichofanya umeme haukukatika katika enzi za Kalemani na sasa unakatika katika ni kitu kinachoitwa peak demandKuwa mkweli brother Mayala hivi JM ana miaka mingapi. Mpaka usema matumizi yame ongezeka, enzi ya Magu aliunganisha vijiji kibao kwa umeme ila hakukuwa na mgao, hebu kuwa mkweli brother? JM mpaka sasa kaunga vijiji vingapi na viwanda vingapi ndani ya mwaka wake mmoja ya uwaziri? Hebu kuwa brother manake unaweza ukanifanya nihisi may be na wewe una buyu lako la asali unajimiminia na kulilamba.
Jamaa yy mwenyewe ashawahi kukiri " zamani umeme ulikuwa haukatiki mara kwa mara sababu ya schedule maintenance........",japo hii kauli yake kwa mtu aliye na basics tu za mitambo ya umeme anaweza kumcheka.
Akahamia vitua vya kufulia umeme chakavu tunatengeza,imeeenda sasa hivi wamepata chaka jipya " ukame na upungufu wa mvua......",kesho wakiamka sijui watasemaje.
Ila kuniambia eti awamu hii ambayo ina mwaka na nusu matumizi ya umeme yanaongezeka na KATAA na unatupanga BROTHER,kuwa mkweli.
Sio kweli hata kidogo hizo sababu ni mfu..sababu unapopunguza uzalishaji maana yake utapunguza bidhaa sokoni na kupelekea bidhaa kua adimu hivyo mfumuko wa bei unatokea hizo sababu mbili alizotoa ni sababu za ovyo ambazo anatakiwa kuwambia watu wasio weza kufikiri..Mbona walishasema kwanini mgao haukuwepo wakati wa mwendazake. According to Makamba
1. Serikali ya Magu ililazimisha viwanda vipunguze uzalishaji ili kupunguza demand
2. Hawakufanya maintenance
Kama ni ukweli au uongo wanajua wao
Nafikiri hujui unachokisema wewe umeme sio kwamba haukukatika sema awamu ya tano kulikua hakuna mgao kama tulionao sasa..kipindi kile tulipewa taarifa na ilikua ni Mara moja moja Tena mara nyingi mwishoni mwa juma..Basi haukuwepo hapa nchini ...umeme ulikatika sana tu ila awamu iliyopita haikuruhusu vyombo vya hbr kuripoti madhaifu ya serikali.. acheni uongo bhana
Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
Nchi gani hiyo umeme ulikuwa unakatika kila siku Enzi za kalemani?
kiukweli, makamba sehemu pekee aliyoweza ni waziri wa mazingira tu pale alipopiga marufuku mufuko ya plastic (ambayo sasaivi imesharudi kadhaa), ila kwenye umeme na nyanja zingine, han auwezo na huwa simkubali kabisa kabisa. hafai.Gerald Hando...paid journalist...wanarudia zoezi lile lile yeye na Kipanya walivyofanya kazi maalum Kwa Dr Idrisa..haadi akatolewa...wakaingia watu wa Ngeleha zikapigwa bilioni 500...
kama kuna mtu yupo behind, atusaidie tu huyo makamba aondoke, wakashauriane na baba yake huko namna ya kuishi vizuri na watu na kwa hekima.Who is behind Gelard hando?
Hii siyo kweli .kama ingekuwa hivyo soda ,unga wa bakhreza,sukari,mchele, bia,etc vingepanda Bei maradufu.Ila za ndani ni kuwa viwanda vingi viliumizwa kwa wakati huo maana viwanda hutumia umeme mwingi, vikikatiwa sio rahisi kupata kelele kama wananchi wakikatiwa
Labda huko chumban kwako ndio ulikuwa unakatika.Kalemani umeme ulikuwa unakatika kila siku....lakini mmeshaanza kubadili facts ili agenda yenu ifanye kazi