George Weah vs Ronadinho

sijui historia ya soka, ila kwa mara chache ambazo nimemuangalia dinho, bado sijamuona wakufanana naye uwanjani!
 
Kuna siku nilicheki kipindi cha mahojiano cha George Weah na mwandishi, kuna baadhi ya clips walikuwa wanazionesha,Weah alicheza mipira ya ajabu sana, naona hata Ronadinho hajawahi kuvionesha akiwa uwanjani. Ronadinho kwa kweli hajamfikia Weah.
Totally unfair kumfananisha Gaucho na George Weah kwangu hata Messi hajafika kwa Gaucho
 
Kwa vile tunalinganisha Gaucho na Weah, basi mi kura yangu inaenda kwa Dinho, ni noma huyu kiumbe! World Cup 2002 Brazil Vs England, goalkeeper David Seeman aliumbuka mbaya! kapigwa goal at "Right angle" na Dinho alikuwa mbali kama mita 28 au zaidi. Hadi leo nalikumbuka hilo goal, Lol!
 
Kwa vile tunalinganisha Gaucho na Weah, basi mi kura yangu inaenda kwa Dinho, ni noma huyu kiumbe! World Cup 2002 Brazil Vs England, goalkeeper David Seeman aliumbuka mbaya! kapigwa goal at "Right angle" na Dinho alikuwa mbali kama mita 28 au zaidi. Hadi leo nalikumbuka hilo goal, Lol!
kuna ki2 umesaha Kaka! Haukumbuki alivyoinyanyasa kiungo ya England? Alivyokuwa akiwalisha wale forward Lima na Rivaldo? Na zile kanzu wakina Schoels waliokuwa wanavishwa umesahau? Kaka mi naona Ronadinho bado hakuna mchezaji wa kati aliyemfikia ktk ulimwengu huu wa soccer na hata forward kama Samwel Eto anakiri. Dinho ni soo!
 
Kuna siku nilicheki kipindi cha mahojiano cha George Weah na mwandishi, kuna baadhi ya clips walikuwa wanazionesha,Weah alicheza mipira ya ajabu sana, naona hata Ronadinho hajawahi kuvionesha akiwa uwanjani. Ronadinho kwa kweli hajamfikia Weah.

Kaka!
Unapoongelea Gaucho a.k.a Dinho unaoongelea kipaji adimu kabisa ambacho Rabuka amewahi kutujaalia sisi wapenzi wa soka hapa ulimwenguni..He is of his own class my brother,huwezi kumlinganisha Weah na Gaucho...Weah alikuwa zaidi mfungaji,lakini Gaucho alifunga yeye mwenyewe,akawatengenezea wengine magoli lakini kubwa kupita yote aliweza kutupa burudani sisi wapenzi wa soka...Aliupenda na kuujua mpira bila kujali kwamba naye alicheza mpira kwa maslahi...Mpaka sasa binafsi sijaona kama Gaucho
 
dah page hii ya pili kweli kuna watu ambao wameshajiandikisha ktk ufalme wa mbinguni.
Kweli watu woote waliochangia hapa wamesema ukweli kuwa NO ONE but Dinho...
Asanteni sana ndugu zangu mnaomkubali Gaucho.
 
Mkuu,

Huwa ni uongo huo wa NIKE na usiuamini hata siku moja. Huwa wanafanya na baadaye wanakata baadhi ya vitu na inabaki hicho unakiona. Ukweli hasa wanavyofanya ni huu hapa:


Weah hamfikii Gaucho hata robo.Nadhani mtoa mada hajapata clips za kutosha za Gaucho.Nenda katafute CD za Gaucho VS Zizzou,halafu tafuata cd ya mazoezi ya timu ya taifa ya brazil akiwa anafanya mazoezi na kina Robinho.Ktk karne hakuna mtu mwenye control kama Gaucho.

Nimeona moja ya clip zake anapiga mpira umbali wa mita 30 unagonga mwamba wa juu kisha unarudi kifuani kwake na anautuliza na kuupiga tena unarudi vile vile.Alirudia hivyo karibu mara tano na hajakosea.Tafuta CD zake kisha utapata jibu.Gaucho ni mtu wa kulinganishwa na Zizzou kwa ball control.Hata hao kina Pele na Maradona walikuwa na sifa zao lkn sio jinsi ya kuuchezea mpira.
 
Last edited by a moderator:
Gaucho na Weah ni watu wawili tofauti sana na ni sawa na kumfananisha Pele Vs Maradona.

Kila mtu alikuwa na uchawi wake na umuhimu wake akiwa kiwanjani.

Kwa mfano, na ukali wake wote Gaucho, kila mwaka alikuwa hafikii idadi ya magoli ya Samuel Etoo....

Weah alikuwa Excutor akiwa golini. Alikuwa hana huruma wala mbwembwe. Yeye ni goli lake kamaliza. Weah unaweza kumlinganisha na watu kama Romario, Ronaldo, Etoo ...... huku akifuatiwa na watu kama Drogba na wafungaji wengine wakali kiwanjani.

Mpira na umuhimu wa Gaucho ni sawa na Messi kwa leo hii alivyo. Kupiga chenga nyingi sana na kusumbua ma-beck wa upinzani na wakati huohuo kuwabeba walinzi karibu wote wamkabe na hapo, mnawaacha wafungaji wengine kama David Villa au Etoo enzi zake.

Tofauti ya Messi na Gaucho ambao wote waweza kuwaweka kundi moja ni kuwa Messi anacheza mpira zaidi wa Kisayansi. Kama ni kusema kivita, basi Messi ni kama KGB au CIA. Gaucho ni kama Komandoo ambalo likifika sehemu, linafanya SHOW kwelikweli. Ndiyo maana film kama Rambo, Terminator, American Comandor, Ninja, Cowboys na picha kama Smallville, Prison Break nk zinapendwa sana ukinganisha na picha kama The Forth Protocal ambazo ni ujasusi kwenda mbele na action kidogo......

Well, kama nimeenda kuangalia mpira, ntafurahia kuangalia pia SHOW inayofanywa na Gaucho. Ila kama nataka timu yangu ishinde, Gaucho aishie mbali na ntamtaka Weah.....

Uzuri wa jitu kama Zedane, lilikuwa limechanganya Weah kwa asilimia kubwa na Gaucho kwa asilimia kubwa. Maguvu, chenga, mbio, ujuzi, pass za maudhi .......... Mhhh, huyu alikuwa na kipaji chake jamani.

Goli la Pili na la kwanza kwa ubora, alimfunika hata Maradona maana jamaa alikimbia uwanja mzima na kufunga goli. Ila kusema ukweli, hana manjonjo kama ya Gauchp.... Hebu angalia....

 
Last edited by a moderator:
Tofauti ya Messi na Gaucho ambao wote waweza kuwaweka kundi moja ni kuwa Messi anacheza mpira zaidi wa Kisayansi. Kama ni kusema kivita, basi Messi ni kama KGB au CIA. Gaucho ni kama Komandoo ambalo likifika sehemu, linafanya SHOW kwelikweli. Ndiyo maana film kama Rambo, Terminator, American Comandor, Ninja, Cowboys na picha kama Smallville, Prison Break nk zinapendwa sana ukinganisha na picha kama The Forth Protocal ambazo ni ujasusi kwenda mbele na action kidogo......
bwahahahahah shemejiiiiiiiiiii
 
Gang Chomba, wewe ni mpenzi wa timu ipi?
Alaf naona umemshikilia bango kweli Ronaldinho, akitokea aliyempiku Ronaldinho utasalimu amri au?

Mimi ni Mshabiki nguli wa AC Milan klabu yenye mafanikio zaidi hapa ulimwenguni.
Inapatikana VIA Turati hapahapa Milan.

Kuhusu Dinho Gaucho ni wazi kuwa yeye ndie nabii wa mwisho wa Soka na hatotokea mwengine mpaka Maulana atakapoiteketeza Dunia.

Naomba kuwasilisha hoja...
 
Mimi ni Mshabiki nguli wa AC Milan klabu yenye mafanikio zaidi hapa ulimwenguni.
Inapatikana VIA Turati hapahapa Milan.

Kuhusu Dinho Gaucho ni wazi kuwa yeye ndie nabii wa mwisho wa Soka na hatotokea mwengine mpaka Maulana atakapoiteketeza Dunia.

Naomba kuwasilisha hoja...
Soka ni sanaa inayochanganya sana, huwa sipendi sana kulinganisha wachezaji ubora wao, lakini siku Barca anampiga RM 3-0 pale Bernabau, Gaucho akiwa star of the show, nilimsikia jamaa mmoja nyuma yangu akisema ni bora angemshawishi mke wake aende kuangalia ile mechi maana angeona jinsi Gaucho anavyofanya yale mambo uwanjani, asingemzuia tena kwenda kuangalia mechi usiku.
 
Kuna siku nilicheki kipindi cha mahojiano cha George Weah na mwandishi, kuna baadhi ya clips walikuwa wanazionesha,Weah alicheza mipira ya ajabu sana, naona hata Ronadinho hajawahi kuvionesha akiwa uwanjani. Ronadinho kwa kweli hajamfikia Weah.
Comparing Ronaldinho and George Weah is an exercise in football ignorance, Dinho is Dinho others are just footballers!!
 
Mimi ni Mshabiki nguli wa AC Milan klabu yenye mafanikio zaidi hapa ulimwenguni.
Inapatikana VIA Turati hapahapa Milan.

Kuhusu Dinho Gaucho ni wazi kuwa yeye ndie nabii wa mwisho wa Soka na hatotokea mwengine mpaka Maulana atakapoiteketeza Dunia.

Naomba kuwasilisha hoja...
Dah ,mimi nimeangukia kwa Real Madrid na Timu ya Wenger kaka! Hivi Garrincha ana clips zake?
 
Dah ,mimi nimeangukia kwa Real Madrid na Timu ya Wenger kaka! Hivi Garrincha ana clips zake?

Huyo mtu nasikia alikuwa noma ila sikupata kumdekea coz ni umri wa mbuda wangu...
na kuhusu hizo clip labda udownload mechi za miaka yake na yeye akiwepo ndio utamfahamu vizuri.

Ila Dinho ni Alfa na Omega
 
Back
Top Bottom