GEORGE MARATO na swagga zake za ki MURANGIRA

GEORGE MARATO na swagga zake za ki MURANGIRA

Huyu jamaa kwa sasa simu zake zimepungua mwaka 2010 alikuwa na simu 12 na kati ya hizo zenye line ya Voda zilikuwa sita,yani jamaa sijui tatizo nini??!!
 
kumbe ndo huyu joji maratu? mbona sura yake haifananii na swagaa za itttttttttttvvvvvvvvvvvvv

Siamini kama swaga zake alizitoa wakati wa interview ndo akapata kazi hiyo ya ku reportiiiiiiiiiiiii kutoooookaaaaaa maraaaaaa. Ptuh! kichefuchefu tu.
 
Nikiripoti kutoka mara mimi ni Goooorge Maratu wa iiiiiittttttttvvvvvv

makampuni yanambania bure tu, wangempa tangazo moja akandamize kwa swaga za ki-mara zaidi! Makampuni yangejaribu kombination ya George Marato na Reinfred Masako tusikie tangazo lingesomekaje!
 
Arooooo! inata tigo,voda,zantel,Airtel au radio colu? Hahahhahah Geoooooorge Maratu!
 
Hivi waandishi ndio wanatakiwa kuwa na masimu yote hayo?
Au jamaa ana kazi nyingine ya kumuongezea kipato kwa kutibu simu za kichina?


380958_212544775548024_1454123270_n.jpg

Unapokosa telephonist unafanya nini kama si hivi? Si unajuwa habari hazitaki kuambiwa kuwa namba uiko busy?
 
Kutoka katika kijiji cha Robanda mimi ni Geooooooooooooooooooooooooooorge Maratooooooooooooooooo ITVIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII Maraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom