GEORGE MARATO na swagga zake za ki MURANGIRA

GEORGE MARATO na swagga zake za ki MURANGIRA

Bujibuji Simba Nyamaume

Platinum Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
78,439
Reaction score
166,901
Hivi waandishi ndio wanatakiwa kuwa na masimu yote hayo?
Au jamaa ana kazi nyingine ya kumuongezea kipato kwa kutibu simu za kichina?


380958_212544775548024_1454123270_n.jpg
 
kumbe ndo huyu joji maratu? mbona sura yake haifananii na swagaa za itttttttttttvvvvvvvvvvvvv
 
Pia huyo ndio mbeba hotuba na makaratasi ya mbunge wa Musoma Vijijini ,Nimrodi Mkono
 
iiiiiiiiiiiiiiiiitviiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.huwa inanifurahisha sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
utangazaji wake unanichekesha ninapokuwa nimenuna na kunikera ninapokuwa nimefurahi
 
Halafu suti aliyovaa si ya kawaida...ni ya Usalama wa Taifa! Kumbe huyu naye hafai
 
ha ha haaah!! Jamaa ana swaga za ajabu sana.
 
Back
Top Bottom