Geor Davie kwenye Sibuka tv

Geor Davie kwenye Sibuka tv

Meljons

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2012
Posts
3,105
Reaction score
1,409
naangalia alivyofika shorprite Arusha kwa helcopter na kutandikiwa red carpet....
 
Bila kusahau anawalinz wake 12 wanamlinda wamevaa suti nyeus na miwani yajua.msafara wake unakuwga n magari zaid yakumi
 
Huyu n mtumish wa MUNGU,hakika tunakila sababu ya kujivunia saut hii ya MUNGU.
 
Aliwah kuja karatu na helikopta akapokolewa namagari yakifahari na escot yapolice nakutandikiwa red capet..ANATISHAAA
 
Jamaa anao mpaka Makadinali....Vyeo vyote hapa duniani ni vyake.

Baba/mheshimiwa/professa/Dk/Nabii mkuu Geor Davie...
 
Mimi nawashangaa watu haswa hawa wanaoitwa walokole wanashindwa kumwelewa huyu mtu ni mtata kama wasingida wenzake akina Mwigulu na Nape!!Ni washamba wa sifa na hawajui jinsi ya kuishi kwa hekima na hawana adabu!!mimi nafkiri Singida kuna shida kuliko tunavyofikiri
 
Peleka upum.ba.vu huko...
Hivi hatuwezi kushindana kwa hoja bila kutukanana? Laiti tungejua kuwa matusi tunayoyatoa yanawaumiza watu wala tusingethubutu kutukana kabisa hapa!!!! Humjui hakujui mmekutana tu hapa JF tena none of us is a verified User, yet tunatukana tu.

Tuwe wastaarabu jamani!!!
 
Huyu jamaa kazidisha sna ukisiliz radio yake nwu radio masaa yote wanamsifia yy.watu singnda wanapend sna misifa kijinga
 
Back
Top Bottom