hapo ndo nyumba ndogo huwa zinatokea.
Na wao wana hisia kama zetu kwani ni binadamu, ila bora wao wana weza kuhimiri vishindo kwa muda mrefu ukilinga nisha na sisi.
mkuu, kwani wanawake si watu mpaka wasiwe na feelings
Na wao wana hisia kama zetu kwani ni binadamu, ila bora wao wana weza kuhimiri vishindo kwa muda mrefu ukilinga nisha na sisi.
Hata lugha ya picha huoni...?
asie jua maana asiambiwe maana sosi somo la kiswahili
Hapa ndo nawakubari waliobuni Sharia, mda huu ungeenda kujikamulia mke wapili, watatu au wanne, kutegemeana na tamaa zako, ni katika hili tu huwa natamani ku-slim
Mama mpika chai ni mrembo kwa wenzio......usimdharau ni maisha tu..Najiuliza hivi wanawake wanakuaga nafeeling kama sisi? wife kasafiri hapa nilipo mpaka kazi haziendi....nina genye mpaka nachanganyikiwa....alafu kila demu namuona mkali......hata mama mpika chai namuona kasimama...hehehehe balaa hili.
Ila nitashinda tu majaribu maana bado wiki tatu arudi.
tunazo sana tu!yani kuliko mnavoweza kufikiri au kuamini!kwani siye ni miti hadi tusiwe nazo!
pole na nenge mkuu !kwa hiyo wife akirudi ajiandae KUKALIA BESENI LA BARAFU enh?[/QUOTE]
NYEGE!!,Nashindwa kuchangia sijui maana ya genye. Ndio tatizo la kuvamia majukwaa ya watu wazima!
sidhani kama na wanawake ni kali kihivyo, anyway sina uthibitisho.
Ila hiyo kutamani kubaka hadi laptop, mmh!