Gentamycine bado unaamini katika haya? Au ni unafiki kama kina BAK,Pole Pole na Nape

Hivi mkuu bado msimamo wako uko vile vile? Au umeshabadili kama mbowe wa gia ya angani? Katika siasa hakuitaji mhemko kabisa maana ukweli uko wazi kwamba kuweka akiba ya maneno ni vema,

Vipi kwa kijana wetu BAK bado unaamini Lowassa ni fisadi?

Vipi Nape Nnauye unaamini kuwa Magufuli ni bulldozer?

Kuhusu mange kimambi unaamini bado Magufuli ni jembe lisiloyumbishwa na lenye akili iliyopitiliza kama ulivosema kwenye kampeni?

Bado unaamini mgombea wa upande mwingine alifanya mambo uloyatangaza jukwaani?

Vipi mbowe ,magufuli bado anatekeleza ilani yenu kama ulivosema mwanzoni?

Msigwa na lema vipi bado mnasimamia kaulo ya wafuasi wa Lowassa wapinwe akili?

Namuuliza Humphrey Pole pole hivi kweli ukuu wa wilaya ni kupoteza rasli Mali za nchi bila sababu?

Namalizia na quotation ya GENTAMYCINE
 
Magufuli ni jabali la Tanzania.. Bahati mbaya ni ngumu sana kumuelewa kwa sasa!

Nawashauri wapinzani wabadili mbinu dhidi yake lakini wakiendelea na style za miaka 47 ya maandamano, kumbeza, kushinda twitter na facebook kumpiga vijembe, watapoteza pakubwa sana!Siasa za kutaka kujipa umaarufu kwa kujifanya mandela zilishapitwa na wakati, wanasiasa wajikite zaidi kwenye kugusa maisha ya watu wa chini. Kwa mfano kuanzisha mipango ya kuwakomboa kiuchumi wanachi katika majimbo yao, utatuzi wa changamoto za maji na kujenga visima, kutafuta wafadhili kwa ajili ya mikopo kwa vijana n.k

Tanzania tunahitaji kufanya siasa za maendeleo na ndio tunakotaka twende sisi wanyonge.
Wadhamini wa vyama vya upinzani hawataki wapinzani wafanye siasa za maendeleo!
Sasa watauza wapi silaha zao kama Africa ikiwa na Amani?
Lazima vyama vya upinzani waonyeshe majazba ya vurugu na damu kumwagika ili wapewe pesa na wadhamini wao! Pathetic walahi!
 
Magufuli ni jabali la Tanzania.. Bahati mbaya ni ngumu sana kumuelewa kwa sasa!

Nawashauri wapinzani wabadili mbinu dhidi yake lakini wakiendelea na style za miaka 47 ya maandamano, kumbeza, kushinda twitter na facebook kumpiga vijembe, watapoteza pakubwa sana!Siasa za kutaka kujipa umaarufu kwa kujifanya mandela zilishapitwa na wakati, wanasiasa wajikite zaidi kwenye kugusa maisha ya watu wa chini. Kwa mfano kuanzisha mipango ya kuwakomboa kiuchumi wanachi katika majimbo yao, utatuzi wa changamoto za maji na kujenga visima, kutafuta wafadhili kwa ajili ya mikopo kwa vijana n.k

Tanzania tunahitaji kufanya siasa za maendeleo na ndio tunakotaka twende sisi wanyonge.
Huna uwezo wa kufikiri kijana......kaa nyumban tu wanaume tukukomberee nchi yako
 
Sasa kama wewe brittanica hujui kwamba wanasiasa wanabadilika na kunyumbulika kuendana na hali ya wakati husika basi wewe ndiye mwenye matatizo! Huwezi kuwa rigid katika siasa. Eti kwa vile ulikuwa na msimami fulani huwezi kuubadilisha kuendana hali ya wakati? Dunia ingekuwa ya ajabu sana km watu wangekuwa na mawazo static!
 
Uyu ni Ccm wa kindakindaki.
kweli huyu jamaa ni CCM zealot ila ni mpenzi mkubwa wa "likes" kutoka kwa wadau humu!

hali kadhalika na yule Gentamycine - naye yule ni CCM fanatic ila sasa na "likes" za JF members humu anazitaka - kwa hiyo inabidi abembee kama anavyobembea!
 
kweli huyu jamaa ni CCM zealot ila ni mpenzi mkubwa wa "likes" kutoka kwa wadau humu!

hali kadhalika na yule Gentamycine - naye yule ni CCM fanatic ila sasa na "likes" za JF members humu anazitaka - kwa hiyo inabidi abembee kama anavyobembea!
 
Wanasiasa hubadilika kama kinyonga.Hiyo ndiyo silka, hulka na haiba yao (general politiacal characteristics)
Na Ndiyo maana ni muhimu sana sana kuwa na ajenda za kitaifa ambazo Wananchi wanajua zitasimamiwa bila kutegemea misimamo ya kisiasa, vinginevyo wananchi wanabaki wasindikizaji wa malengo binafsi ya wanasiasa, huku (Wananchi) wakipewa kidogo kama vile kula na kipofu.
 
Na Ndiyo maana ni muhimu sana sana kuwa na ajenda za kitaifa ambazo Wananchi wanajua zitasimamiwa bila kutegemea misimamo ya kisiasa, vinginevyo wananchi wanabaki wasindikizaji wa malengo binafsi ya wanasiasa, huku (Wananchi) wakipewa kidogo kama vile kula na kipofu.
Sure
 
We jamaa nimependa misimamo yako ya kutofungamana na upande wowote...

Ila siasa ni kama mpira wa miguu.
Mfungaji bora wa timu moja ni adui wa kukaba muda wote, akihamia kwenu anakuwa mtu wa kulindwa muda wote
Na kamwe siasa za namna hii hazitakaa zitunufaishe.Maana tunashabikia siasa kama Simba na Yanga,nothing serious.
 
Hivi mkuu bado msimamo wako uko vile vile? Au umeshabadili kama mbowe wa gia ya angani? Katika siasa hakuitaji mhemko kabisa maana ukweli uko wazi kwamba kuweka akiba ya maneno ni vema,

Vipi kwa kijana wetu BAK bado unaamini Lowassa ni fisadi?

Vipi Nape Nnauye unaamini kuwa Magufuli ni bulldozer?

Kuhusu mange kimambi unaamini bado Magufuli ni jembe lisiloyumbishwa na lenye akili iliyopitiliza kama ulivosema kwenye kampeni?

Bado unaamini mgombea wa upande mwingine alifanya mambo uloyatangaza jukwaani?

Vipi mbowe ,magufuli bado anatekeleza ilani yenu kama ulivosema mwanzoni?

Msigwa na lema vipi bado mnasimamia kaulo ya wafuasi wa Lowassa wapinwe akili?

Namuuliza Humphrey Pole pole hivi kweli ukuu wa wilaya ni kupoteza rasli Mali za nchi bila sababu?

Namalizia na quotation ya GENTAMYCINE
Bila shaka ushapata majibu as of now.
 
Back
Top Bottom