britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Kauli hiyo aliitamka Lissu kwa kejeli akiwakejeli wasioona nguvu ya Lowassa ndani ya nchi,
Nawaambia hakuna mtu mwenye nguvu dhidi ya taasisi yeyote imara, labda kwa CHADEMA ndipo mwenyewe Mbowe ana nguvu kuliko chama, na hii inamifano mingi, ipo siku tutaijadili ,
Lakin kwa Taasisi imara kama CCM au Democrat au Republican za USA mtu hana nguvu dhidi ya chama, Leo hii hata Magufuli anaiogopa CCM kama ukoma hawezi kuchezea misingi yake, wakiamua wanamuweka pembeni mapema,
Tuangalie suala la Lissu kuamini katika Lowassa na si kuamini katika CHADEMA, ni ama Lissu alikuwa n.a. aibu akiwa anaongea bila kuwaza mantiki ya anachoongea, au aliteleza, maana kwa uwezo wa Lissu so mtu wa kuyumba kwa kipindi kile, ni bora angekaa kimya kama Mnyika, Lema na Kubenea,
Ilikuwa ni kama watu hawaelewi Slaa anamaanisha nini,
Nakumbuka mambo yafuatayo
1. Prof Safari aliichana barua ya Slaa kujiuzulu na kuiweka kwenye koti la Slaa kwa nguvu akisema ataaribu mipango,
2. Mbowe alimkaribisha Lowassa kwa bashasha na kumnadi kana kwamba ndo mkombozi mkuu wa Taifa ili,
3. Slaa alivamiwa kwake asiseme.chochote mpaka akahama nchi, na kusemekana alitishwa sana,
4. Lissu wenda hata kupigwa kwake Risasi ni malipo ya unafiki katika siasa,
Alisema Dr slaa alifungiwa kwenye gari na Josephine hivo na kumfanya ajiuzuru,
5. Alipoulizwa kwanini amekubali.Lowassa ajiunge na CHADEMA akasema kwa kujibu hivi
"Ni ujinga kujifanya humuoni tembo ndani ya uwanja wa mpira" kwamba Lowassa ana nguvu sana na atawafanya kuingia ikulu asubuhi, hihihihihi nilimcheki Lissu nikasema hiiiii,
6. Dr slaa ni msaliti kashawishiwa na mke wake, inamaana chama chenu mliruhusu vipi katika kuwa na watu wasio na.msimamo?
Je bado unaamini Lowassa ni Asset au Liability?
Dr slaa wengi walikubeza lakin muda huu wanaanza kuyaona,
Je Lowassa ni tembo mkubwa ndani ya uwanja wa mpira kama alivyosema Lissu huku akijiuma uma?
Hawakujua kwamba Lowassa pamoja na hasira zake zote ye alihamia CHADEMA kwa faida zake na wala so kwa CHADEMA wala nchi,
1. Waliomchafua ndo walimtakasa nchi nzima wakiwepo watu nguli kama Lissu na Mbowe,
2. Azma yake ya kugombea urais kwa njia yeyote imetimia,
3. Title yake itaendelea kuwa kubwa kama mgombea wa urais aliyeshindwa maana tittle ya uwaziri mkuu wake ina doa la kufukuzwa( kwa mujibu wa maelezo ya Slaa,Mtikila na kikwete
Nawaambia hakuna mtu mwenye nguvu dhidi ya taasisi yeyote imara, labda kwa CHADEMA ndipo mwenyewe Mbowe ana nguvu kuliko chama, na hii inamifano mingi, ipo siku tutaijadili ,
Lakin kwa Taasisi imara kama CCM au Democrat au Republican za USA mtu hana nguvu dhidi ya chama, Leo hii hata Magufuli anaiogopa CCM kama ukoma hawezi kuchezea misingi yake, wakiamua wanamuweka pembeni mapema,
Tuangalie suala la Lissu kuamini katika Lowassa na si kuamini katika CHADEMA, ni ama Lissu alikuwa n.a. aibu akiwa anaongea bila kuwaza mantiki ya anachoongea, au aliteleza, maana kwa uwezo wa Lissu so mtu wa kuyumba kwa kipindi kile, ni bora angekaa kimya kama Mnyika, Lema na Kubenea,
Ilikuwa ni kama watu hawaelewi Slaa anamaanisha nini,
Nakumbuka mambo yafuatayo
1. Prof Safari aliichana barua ya Slaa kujiuzulu na kuiweka kwenye koti la Slaa kwa nguvu akisema ataaribu mipango,
2. Mbowe alimkaribisha Lowassa kwa bashasha na kumnadi kana kwamba ndo mkombozi mkuu wa Taifa ili,
3. Slaa alivamiwa kwake asiseme.chochote mpaka akahama nchi, na kusemekana alitishwa sana,
4. Lissu wenda hata kupigwa kwake Risasi ni malipo ya unafiki katika siasa,
Alisema Dr slaa alifungiwa kwenye gari na Josephine hivo na kumfanya ajiuzuru,
5. Alipoulizwa kwanini amekubali.Lowassa ajiunge na CHADEMA akasema kwa kujibu hivi
"Ni ujinga kujifanya humuoni tembo ndani ya uwanja wa mpira" kwamba Lowassa ana nguvu sana na atawafanya kuingia ikulu asubuhi, hihihihihi nilimcheki Lissu nikasema hiiiii,
6. Dr slaa ni msaliti kashawishiwa na mke wake, inamaana chama chenu mliruhusu vipi katika kuwa na watu wasio na.msimamo?
Je bado unaamini Lowassa ni Asset au Liability?
Dr slaa wengi walikubeza lakin muda huu wanaanza kuyaona,
Je Lowassa ni tembo mkubwa ndani ya uwanja wa mpira kama alivyosema Lissu huku akijiuma uma?
Hawakujua kwamba Lowassa pamoja na hasira zake zote ye alihamia CHADEMA kwa faida zake na wala so kwa CHADEMA wala nchi,
1. Waliomchafua ndo walimtakasa nchi nzima wakiwepo watu nguli kama Lissu na Mbowe,
2. Azma yake ya kugombea urais kwa njia yeyote imetimia,
3. Title yake itaendelea kuwa kubwa kama mgombea wa urais aliyeshindwa maana tittle ya uwaziri mkuu wake ina doa la kufukuzwa( kwa mujibu wa maelezo ya Slaa,Mtikila na kikwete
Last edited: