Genius Zitto Kabwe on Escrow

Genius Zitto Kabwe on Escrow

Nawashangaa sana watu wanaomhusudu mtu ambaye ni kinyonga.

Arudishe kwanza hela zetu alizochota nssf.

Na aachane na hela zetu, Fao la kujitoa halimhusu na asikaribu kufanya lobbying za kikongolese hapa.

Hivi yeye akiambiwa ubunge ukiisha asubiri mpaka afikishe 60yrs ataweza.
hueleweki unamzungumzia nani na post ipi. soma tena thread urudi kuchangia achana na porojo. au anzisha uzi mwingine wa fao la kujitoa.
 
Zitto ana Personal conflict of interest na IPTL na kina Seth, kudhulumiana kwake na kina Ruge asifanye kuwa ni mzozo wa Taifa!
Yeye Mwenyewe anamulikwa na umeme wa IPTL nyumban kwake lakin bado anajifanya haoni kazi ya IPTL.
Tanesco inanunua umeme kwa Wazabuni wengi sana na anajua kabisa IPTL ndio mzabuni anaeuza umeme wake Tanesco kwa bei nafuu zaidi lakin kwa kuwa IPTL hawataki kutoa rushwa kwa kina Zitto sasa kageuza ugomvi wa Kimsalahi kuwa ugomvi wa kitaifa!

1994 wakati IPTL wanaingia nchini Zitto alikuwa kwao Kigoma anatoa Funza vidoleni Leo anajifanya anaijua sana IPTL, mbona Wapinzani wenzie kina Mbowe, Lowassa na Mbatia wamepiga Kimya au anataka aonekane yeye ni Mzalendo kuliko Wanasiasa wote!
Kihelehele chake huko Chadema ndio kilimfukuzisha lakini bado hajajifunza kitu!

Apunguze kwanza Viporo mezani, majina ya Uswiss kachoma Moto orodha baada ya wadau kufika bei!
kwa hiyo Tanesco hawadaiwi Tshs. bilioni 320? au umelenga nini?
 
Zitto ana Personal conflict of interest na IPTL na kina Seth, kudhulumiana kwake na kina Ruge asifanye kuwa ni mzozo wa Taifa!
Yeye Mwenyewe anamulikwa na umeme wa IPTL nyumban kwake lakin bado anajifanya haoni kazi ya IPTL.
Tanesco inanunua umeme kwa Wazabuni wengi sana na anajua kabisa IPTL ndio mzabuni anaeuza umeme wake Tanesco kwa bei nafuu zaidi lakin kwa kuwa IPTL hawataki kutoa rushwa kwa kina Zitto sasa kageuza ugomvi wa Kimsalahi kuwa ugomvi wa kitaifa!

1994 wakati IPTL wanaingia nchini Zitto alikuwa kwao Kigoma anatoa Funza vidoleni Leo anajifanya anaijua sana IPTL, mbona Wapinzani wenzie kina Mbowe, Lowassa na Mbatia wamepiga Kimya au anataka aonekane yeye ni Mzalendo kuliko Wanasiasa wote!
Kihelehele chake huko Chadema ndio kilimfukuzisha lakini bado hajajifunza kitu!

Apunguze kwanza Viporo mezani, majina ya Uswiss kachoma Moto orodha baada ya wadau kufika bei!
Kwahiyo kama anamulikiwa na umeme wa IPTL asiseme madudu yaliyomo?inaonekana wewe pia una chuki binafsi na Genius Zitto
 
Hivi,singasinga ana akili nyingi kiasi cha kutushinda sisi wote au ni matumbo makubwa ya wahusika katika kutengeneza mpango,kuruhusu malipo na kutetea malipo?
 
Zitto ana Personal conflict of interest na IPTL na kina Seth, kudhulumiana kwake na kina Ruge asifanye kuwa ni mzozo wa Taifa!
Yeye Mwenyewe anamulikwa na umeme wa IPTL nyumban kwake lakin bado anajifanya haoni kazi ya IPTL.
Tanesco inanunua umeme kwa Wazabuni wengi sana na anajua kabisa IPTL ndio mzabuni anaeuza umeme wake Tanesco kwa bei nafuu zaidi lakin kwa kuwa IPTL hawataki kutoa rushwa kwa kina Zitto sasa kageuza ugomvi wa Kimsalahi kuwa ugomvi wa kitaifa!

1994 wakati IPTL wanaingia nchini Zitto alikuwa kwao Kigoma anatoa Funza vidoleni Leo anajifanya anaijua sana IPTL, mbona Wapinzani wenzie kina Mbowe, Lowassa na Mbatia wamepiga Kimya au anataka aonekane yeye ni Mzalendo kuliko Wanasiasa wote!
Kihelehele chake huko Chadema ndio kilimfukuzisha lakini bado hajajifunza kitu!

Apunguze kwanza Viporo mezani, majina ya Uswiss kachoma Moto orodha baada ya wadau kufika bei!
Kuchelewa kuingia Dar esalaam ni hoja ya mtu kuwa kipofu?,kama IPTL waligawa fedha walizoiba kwa watu wengi mpaka viongozi wa kiroho,walishindwa kupata cha kumpa zitto?
Au wewe ni mnufaika wa hizo fedha za damu?zinazoua wajawazito kwa kukosa huduma stahiki!.
Ona hoja hata kama humkubali.
 
Zitto ana Personal conflict of interest na IPTL na kina Seth, kudhulumiana kwake na kina Ruge asifanye kuwa ni mzozo wa Taifa!
Yeye Mwenyewe anamulikwa na umeme wa IPTL nyumban kwake lakin bado anajifanya haoni kazi ya IPTL.
Tanesco inanunua umeme kwa Wazabuni wengi sana na anajua kabisa IPTL ndio mzabuni anaeuza umeme wake Tanesco kwa bei nafuu zaidi lakin kwa kuwa IPTL hawataki kutoa rushwa kwa kina Zitto sasa kageuza ugomvi wa Kimsalahi kuwa ugomvi wa kitaifa!

1994 wakati IPTL wanaingia nchini Zitto alikuwa kwao Kigoma anatoa Funza vidoleni Leo anajifanya anaijua sana IPTL, mbona Wapinzani wenzie kina Mbowe, Lowassa na Mbatia wamepiga Kimya au anataka aonekane yeye ni Mzalendo kuliko Wanasiasa wote!
Kihelehele chake huko Chadema ndio kilimfukuzisha lakini bado hajajifunza kitu!

Apunguze kwanza Viporo mezani, majina ya Uswiss kachoma Moto orodha baada ya wadau kufika bei!
Swala sio Zitto, swala ni IPTL na deni la taifa. Kwani MTU kusema ukweli nivibaya ? Au mpaka mbowe na wenzake ulowataja waseme ndio uone kwamba nisuala la uzalendo?
 
Mheshimiwa zitto ungetoa solution nini cha kuanza kufanya. Naona kama hujaenda moja kwa moja nini rais afanye kwa kuwa wewe unajua. Kama ishu ni kufukuza kazi mtu haisababishi tusilipe kwa mtazamo wako.
Amefanya jambo jema,ambalo ni kulalamika na kutoa solution,he's right.
 
Th
Zitto ana Personal conflict of interest na IPTL na kina Seth, kudhulumiana kwake na kina Ruge asifanye kuwa ni mzozo wa Taifa!
Yeye Mwenyewe anamulikwa na umeme wa IPTL nyumban kwake lakin bado anajifanya haoni kazi ya IPTL.
Tanesco inanunua umeme kwa Wazabuni wengi sana na anajua kabisa IPTL ndio mzabuni anaeuza umeme wake Tanesco kwa bei nafuu zaidi lakin kwa kuwa IPTL hawataki kutoa rushwa kwa kina Zitto sasa kageuza ugomvi wa Kimsalahi kuwa ugomvi wa kitaifa!

1994 wakati IPTL wanaingia nchini Zitto alikuwa kwao Kigoma anatoa Funza vidoleni Leo anajifanya anaijua sana IPTL, mbona Wapinzani wenzie kina Mbowe, Lowassa na Mbatia wamepiga Kimya au anataka aonekane yeye ni Mzalendo kuliko Wanasiasa wote!
Kihelehele chake huko Chadema ndio kilimfukuzisha lakini bado hajajifunza kitu!

Apunguze kwanza Viporo mezani, majina ya Uswiss kachoma Moto orodha baada ya wadau kufika bei!
This is completel taaarabu
 
Mtu yeyote anayengalia na kutambua mambo si kwa kutumia macho yake, bali fikra zake, hakika ataweza kubaini kuwa uamuzi huu wa ICSID ni conspiracy of highest order hatched against JPM by not other than IPTL beneficiaries of the past, including those who scammed the escrow account money. The Britisha Government is chief bankroller, Stan-Chart Hong Kong is the pay master, Rostam Aziz is the archtect whereas Zitto, Mkono and other funny MPs are mere henchmen preying on the British (Dar es Salaam) payroll. But to the best of my knowledge, for sure JPM Government will simply dishonour. Ni kweli Habinder ni jizi, lakini hata kama hilo jizi lisingekuwa limefanya uwakala kuliibia taifa kwa kushirikiana na majizi mengine katika serikali ya mwaka jana, kundi la Zitto na wenzake lingekuwa bado linashinikiza Tanzania ikubaliane na madai ya kitapeli ya SC-HK. Hili nalo ni genge jingine tunalotakiwa kuliagalia. Malengo ya genge hili kwa sasa ni kushinikiza serikali ya JPM ilipe hao matapeli wa Ulaya/Mashariki ya Mbali ili genge husika liweze kuvuna mara mbili; kupata posho ya uwakala wao; na pili, kujinufaisha kisiasa. Kwa hiyo, Serikali iki-dishonour kulipa, hili genge lita-suffer mara mbili.
 
Nawashangaa sana watu wanaomhusudu mtu ambaye ni kinyonga.

Arudishe kwanza hela zetu alizochota nssf.

Na aachane na hela zetu, Fao la kujitoa halimhusu na asikaribu kufanya lobbying za kikongolese hapa.

Hivi yeye akiambiwa ubunge ukiisha asubiri mpaka afikishe 60yrs ataweza.
Tatizo lako ubinafsi umekuganda mpaka huyaoni maslahi ya taifa, tunapigania deni tunalobebeshwa na mafisadi watanzania wenzetu wewe unang'ang'ania deni la mtu mmoja alilokopa au kuchukua NSSF si watajuana wenyewe?
 
Hapo kwenye IPTL rais ataendelea kubaki kimya

Na wanaccm hawataki hii habari ijadiliwe kabisa,

Nashangaa uvccm hapa hawajatoa tamko
 
Zitto ana Personal conflict of interest na IPTL na kina Seth, kudhulumiana kwake na kina Ruge asifanye kuwa ni mzozo wa Taifa!
Yeye Mwenyewe anamulikwa na umeme wa IPTL nyumban kwake lakin bado anajifanya haoni kazi ya IPTL.
Tanesco inanunua umeme kwa Wazabuni wengi sana na anajua kabisa IPTL ndio mzabuni anaeuza umeme wake Tanesco kwa bei nafuu zaidi lakin kwa kuwa IPTL hawataki kutoa rushwa kwa kina Zitto sasa kageuza ugomvi wa Kimsalahi kuwa ugomvi wa kitaifa!

1994 wakati IPTL wanaingia nchini Zitto alikuwa kwao Kigoma anatoa Funza vidoleni Leo anajifanya anaijua sana IPTL, mbona Wapinzani wenzie kina Mbowe, Lowassa na Mbatia wamepiga Kimya au anataka aonekane yeye ni Mzalendo kuliko Wanasiasa wote!
Kihelehele chake huko Chadema ndio kilimfukuzisha lakini bado hajajifunza kitu!

Apunguze kwanza Viporo mezani, majina ya Uswiss kachoma Moto orodha baada ya wadau kufika bei!
Hebu muweke zitto pembeni,
Hizo billion mia sits na ushee wewe unaona ni halali?

Yuko wapi yule rais mliyemuita rais asiyependa ufisadi?
 
Sijaamini
Ikiwa Serikali Inakwenda Kulipa Trillions Kwa Wezi
Ila Yoootee Haya Sababu Ccm Ibaki Madarakani Tu
Sasa Ipambane Tuione Ila Duh Aibu
 
Nyie Mliahidi Ukuta Sept 1 lakin mpaka leo hata Msingi hamjachimba
Mkuu ukoo wa mafisi na mapanya siku zote utabaki hivyo ukoo wa mafisi na mapanya.<br /><br />[quote uid=318098 name="YABUUU" post=17729510]ukiambiwa BABA kazungukwa na mafisi, mbwa mwitu na mbweha mnatoa povu. kama BABA anauwezo apambana na haya mafic, mbwa mwitu na mambweha. BABA hata ubav wa kuongelea hili hana jaman, pole mama tanzania pole watanzania kwa ujumla mana ndio walpa kodi[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom