Genius Zitto Kabwe on Escrow

Genius Zitto Kabwe on Escrow

Daaah nyie ndio raisi Rodrigo duterte anawapiga shaba.... Kuwa na mwanachi kama wewe no bora uwe na miashoki uwani utapunga upepo

Kuna Mtu huwa anagusisha Kitovu chake mgongoni kwako kabla hujapunga Upepo kwny Miashok yako uani?
 
Zitto jiulize ni kwanini kuna mtu alitaka Bunge lifanyike gizani ndipo uendelee kujipa matumanini.

Huu ni ukoo ule ule tu!
 
Nawashangaa sana watu wanaomhusudu mtu ambaye ni kinyonga.

Arudishe kwanza hela zetu alizochota nssf.

Na aachane na hela zetu, Fao la kujitoa halimhusu na asikaribu kufanya lobbying za kikongolese hapa.

Hivi yeye akiambiwa ubunge ukiisha asubiri mpaka afikishe 60yrs ataweza.

Mkuu mbona kama unakimbia mada
 
Zitto ana Personal conflict of interest na IPTL na kina Seth, kudhulumiana kwake na kina Ruge asifanye kuwa ni mzozo wa Taifa!
Yeye Mwenyewe anamulikwa na umeme wa IPTL nyumban kwake lakin bado anajifanya haoni kazi ya IPTL.
Tanesco inanunua umeme kwa Wazabuni wengi sana na anajua kabisa IPTL ndio mzabuni anaeuza umeme wake Tanesco kwa bei nafuu zaidi lakin kwa kuwa IPTL hawataki kutoa rushwa kwa kina Zitto sasa kageuza ugomvi wa Kimsalahi kuwa ugomvi wa kitaifa!

1994 wakati IPTL wanaingia nchini Zitto alikuwa kwao Kigoma anatoa Funza vidoleni Leo anajifanya anaijua sana IPTL, mbona Wapinzani wenzie kina Mbowe, Lowassa na Mbatia wamepiga Kimya au anataka aonekane yeye ni Mzalendo kuliko Wanasiasa wote!
Kihelehele chake huko Chadema ndio kilimfukuzisha lakini bado hajajifunza kitu!

Apunguze kwanza Viporo mezani, majina ya Uswiss kachoma Moto orodha baada ya wadau kufika bei!
Zitto Zitto amekugusa ukagusika sasa unaanza kumtukana.
 
Ondoeni mfumo chama chakavu msoga ndio mje muone ufisadi peupe kabisa ila unafiki wa kugawa upinzani kipindi cha uchaguzi afu mnakuja sasa kulalama kwa kutafuta sifa ni ujinga tuu.
 
Zito hua anapiga round kwenye ishu zile zile miaka yote
 
Kwa sababu Singa Singa alikuwa mfadhili mkubwa wa CCM, Lumumba team ni lazima waitetee PAP ya Harbinder Singh hata kama tunakula nyasi! Push up za majukwaani hazifui dafu kwa ESCROW!
 
Zitto ana Personal conflict of interest na IPTL na kina Seth, kudhulumiana kwake na kina Ruge asifanye kuwa ni mzozo wa Taifa!
Yeye Mwenyewe anamulikwa na umeme wa IPTL nyumban kwake lakin bado anajifanya haoni kazi ya IPTL.
Tanesco inanunua umeme kwa Wazabuni wengi sana na anajua kabisa IPTL ndio mzabuni anaeuza umeme wake Tanesco kwa bei nafuu zaidi lakin kwa kuwa IPTL hawataki kutoa rushwa kwa kina Zitto sasa kageuza ugomvi wa Kimsalahi kuwa ugomvi wa kitaifa!

1994 wakati IPTL wanaingia nchini Zitto alikuwa kwao Kigoma anatoa Funza vidoleni Leo anajifanya anaijua sana IPTL, mbona Wapinzani wenzie kina Mbowe, Lowassa na Mbatia wamepiga Kimya au anataka aonekane yeye ni Mzalendo kuliko Wanasiasa wote!
Kihelehele chake huko Chadema ndio kilimfukuzisha lakini bado hajajifunza kitu!

Apunguze kwanza Viporo mezani, majina ya Uswiss kachoma Moto orodha baada ya wadau kufika bei!
Barbaric comment
 
Zitto ana Personal conflict of interest na IPTL na kina Seth, kudhulumiana kwake na kina Ruge asifanye kuwa ni mzozo wa Taifa!
Yeye Mwenyewe anamulikwa na umeme wa IPTL nyumban kwake lakin bado anajifanya haoni kazi ya IPTL.
Tanesco inanunua umeme kwa Wazabuni wengi sana na anajua kabisa IPTL ndio mzabuni anaeuza umeme wake Tanesco kwa bei nafuu zaidi lakin kwa kuwa IPTL hawataki kutoa rushwa kwa kina Zitto sasa kageuza ugomvi wa Kimsalahi kuwa ugomvi wa kitaifa!

1994 wakati IPTL wanaingia nchini Zitto alikuwa kwao Kigoma anatoa Funza vidoleni Leo anajifanya anaijua sana IPTL, mbona Wapinzani wenzie kina Mbowe, Lowassa na Mbatia wamepiga Kimya au anataka aonekane yeye ni Mzalendo kuliko Wanasiasa wote!
Kihelehele chake huko Chadema ndio kilimfukuzisha lakini bado hajajifunza kitu!

Apunguze kwanza Viporo mezani, majina ya Uswiss kachoma Moto orodha baada ya wadau kufika bei!

Lakini umeisoma hiyo hukumu ya ICSID? Au ndiyo yale ya bendera fuata upepo na kubisha kabla ya kuelewa?
 
Rais Magufuli aonyeshe hasira zake dhidi ya Ufisadi kwenye huu ufisadi mkongwe wa IPTL.

Nimesoma ' arbitral award ' ambayo Benki ya Standard chartered wametunukiwa na ICSID ( case no. ARB/10/20 ) na kuumizwa sana kutokana na kwamba hoja zote ambazo zimetumika kuwapa ushindi SCB ndizo Kamati ya PAC ilizijenga kwenye Taarifa yake Maalumu iliyopitishwa na Bunge na kutolewa maazimio 8. Ndio hoja hizo hizo zilibezwa na Serikali chini ya Waziri Sospeter Mwijarubi Muhongo na umma kuambiwa kuwa TANESCO hawatakuwa na madai dhidi Yao.

Mahakama hii ( tribunal ) ya ICSID imethibitisha maonyo ya PAC kwamba hasara Kwa Nchi kwenye kashfa ya [HASHTAG]#TegetaEscrow[/HASHTAG] itakuwa Ni mara mbili ya Fedha zilizochotwa kwani mwenye Mali akijulikana tutapaswa kumlipa tena. Tulimpa Harbinder Singh Seth tshs 306 bilioni na tunapaswa kuwalipa SCB tshs 320 bilioni. Jumla tshs 626 bilioni. Na bado tunamlipa Seth kila Mwezi $4m Kwa umeme wa mtambo alioupata kitapeli.

ICSID imesema IPTL Ni Mali ya Standard Chartered Bank.

Rais John Magufuli ana fursa ya kihistoria kumaliza kabisa huu mtandao wa wizi na utapeli uliodumu toka mwaka 1995.
Nahisi mara hii tutawafahamu hata waliobeba pesa kwenye viroba na lumbesa. Yule singa singa naamini aliruhusiwa na watunza pesa zetu na lazima walimuongoza jinsi ya kuzichota.
 
Zitto ana Personal conflict of interest na IPTL na kina Seth, kudhulumiana kwake na kina Ruge asifanye kuwa ni mzozo wa Taifa!
Yeye Mwenyewe anamulikwa na umeme wa IPTL nyumban kwake lakin bado anajifanya haoni kazi ya IPTL.
Tanesco inanunua umeme kwa Wazabuni wengi sana na anajua kabisa IPTL ndio mzabuni anaeuza umeme wake Tanesco kwa bei nafuu zaidi lakin kwa kuwa IPTL hawataki kutoa rushwa kwa kina Zitto sasa kageuza ugomvi wa Kimsalahi kuwa ugomvi wa kitaifa!

1994 wakati IPTL wanaingia nchini Zitto alikuwa kwao Kigoma anatoa Funza vidoleni Leo anajifanya anaijua sana IPTL, mbona Wapinzani wenzie kina Mbowe, Lowassa na Mbatia wamepiga Kimya au anataka aonekane yeye ni Mzalendo kuliko Wanasiasa wote!
Kihelehele chake huko Chadema ndio kilimfukuzisha lakini bado hajajifunza kitu!

Apunguze kwanza Viporo mezani, majina ya Uswiss kachoma Moto orodha baada ya wadau kufika bei!
Kumbe ukiongea ukweli unakuwa kihehere.???
 
Mheshimiwa zitto ungetoa solution nini cha kuanza kufanya. Naona kama hujaenda moja kwa moja nini rais afanye kwa kuwa wewe unajua. Kama ishu ni kufukuza kazi mtu haisababishi tusilipe kwa mtazamo wako.
 
StanChart accused over $100m African ‘dirty debt’

Bank denies it was complicit in siphoning money from Tanzanian power plant project

Standard Chartered bought a $100m “dirty debt” and used it to demand compensation from an African government despite knowing that the loan had been part of a multimillion-pound embezzlement scheme, according to claims in a legal battle.

The Tanzanian High Court is due on Monday to begin hearing in earnest a claim brought by a local company called VIP Engineering and Marketing, the erstwhile minority investor in a scandal-prone power plant project. VIP is seeking $491m in damages from StanChart, Mechmar, the Malaysian majority investor in the plant, and Wärtsilä, the Finnish engineering group that built it. They deny VIP’s claims that they were complicit in siphoning money out of the project.

For the London-based emerging markets bank, which has incurred nearly $1bn in fines over the past nine years for breaching sanctions and failing to guard against money laundering, the Tanzanian case marks another instance of alleged involvement in illicit financial dealings. StanChart denies wrongdoing and calls VIP’s allegations “baseless”.

The case is the latest in 18 years of international courtroom tussles stemming from a formerly socialist government’s efforts to harness the private sector to bring electricity to some of the two-thirds of Tanzanians who lack power.

Almost from its inception in the mid-1990s, the Independent Power Tanzania Limited (IPTL) project has been marred by acrimony between its two private investors — VIP and Mechmar — and the government, which funded the plant through a tariff.

When StanChart bought IPTL’s $101m debt for $76m in 2005, the company was already in default and its investors locked in dispute. Banks and other investors — including so-called vulture funds — often buy distressed debt in emerging markets in the hope of enforcing it.

Expert reports commissioned by VIP and submitted to the Tanzanian court last week raise questions about the circumstances in which StanChart acquired the loan from a Malaysian lender. They point to a stipulation in the sale agreement under which StanChart agreed not to hold the Malaysian bank responsible for the “legality, validity [or] enforceability” of the loan. This, one of VIP’s experts writes, indicated that StanChart knew the debt it was buying was “highly suspicious”.

VIP’s experts, including a British barrister and a Dutch legal scholar, also cite a 2001 arbitration ruling in New York that the costs claimed by IPTL and Wärtsilä were $30m too high. And they highlight changes to the terms of the loan made by the Malaysian lender that allegedly helped Wärtsilä and Mechmar siphon money fraudulently from the project. StanChart, one of the experts concludes, was “at a minimum … wilfully blind” to alleged past misconduct related to the loan when it bought it.

In the years since, StanChart has lobbied Tanzania to nationalise IPTL. It argues its debt is legitimate and has launched three international arbitration proceedings, including one demanding compensation from Tanzania. Last year it brought a suit in London against VIP and others after the company agreed to sell its shares in the project to another Tanzanian group.

That sale involved the improper use of government funds and the payments of bribes to officials, according to a 2014 parliamentary report that triggered a high-levelpolitical scandal in Tanzania. VIP, majority owned by local businessman James Rugemalira, contests the report’s findings.

Neither Mechmar nor the liquidators that a Malaysian court appointed in 2012 responded to requests for comment. Wärtsilä said VIP’s claims were “fanciful”. The Finnish group added that its “role in the project was limited” but that it stood by its work. It declined to comment further while the case was before the court.

StanChart, which reports annual results on Tuesday, said it “denies the allegations made against the bank and is committed to defending this position in court”.

Copyright The Financial Times Limited 2016

........................................................................................................................................................................................................................

Huu ndio upande wa pili wa shilling ambao wa-Tanzania awataki kuujadili wala wanasiasa wenye majungu awataki kuongelea; chanzo cha matatizo yote haya kumbe TANESCO wenyewe kuanza kusikiliza claims za wazungu badala ya kuwa direct kwa watu waliokuwa wanawauzia umeme au shareholders wanaowatambua wao wa (IPTL).
 
Mheshimiwa zitto ungetoa solution nini cha kuanza kufanya. Naona kama hujaenda moja kwa moja nini rais afanye kwa kuwa wewe unajua. Kama ishu ni kufukuza kazi mtu haisababishi tusilipe kwa mtazamo wako.
Nazani ulishuhudia mjadala huo bungeni.mheshimiwa ana makinda aliongoza mjadala mpaka usiku na suluhisho ulitolewa.unazani billion 300 mheshiwa rais angenunua ndege ngapi za bombardier.kwani hapo si tungeeshimika? Saa tunaeshimika kwa kulipa deni.
 
Nawashangaa sana watu wanaomhusudu mtu ambaye ni kinyonga.

Arudishe kwanza hela zetu alizochota nssf.

Na aachane na hela zetu, Fao la kujitoa halimhusu na asikaribu kufanya lobbying za kikongolese hapa.

Hivi yeye akiambiwa ubunge ukiisha asubiri mpaka afikishe 60yrs ataweza.
Mkuu nimekuelewa huyu jamaa na yeye ni ukwapuaji
Kumbuka pesa za mkono,Kumbuka ile gorofa ya Dodoma,Mgao wa escrow na pesa za NSSF
 
Back
Top Bottom