Genius only: Who is the killer?

Genius only: Who is the killer?

Swizzy

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2016
Posts
773
Reaction score
516
IMG-20170805-WA0000.jpg
 
Namba 3 aliua then ili kupoteza ushahidi akaja kunywa chai
 
what is the moral of the story?
 
3 ndio muuaji itakuwa alitumia hicho kibegi chake kubeba kisu na kwenda kuuwa

amerudi amesahau hata kufunga .....alafu inaonekana yupo kwenye shock

kutokana na kufunga mikono yake.

Alafu pia mwanaume hawezi kumuua mwanamke kwa kumchoma kisu

angepiga kabali mchezo kwisha.
mmm!! aiseh
 
Killer ni No 3 kwa sababu ( tatu kuu) na ndogo ndogo kadhaa
1. Ni mwanamke sababu kwa yeye ilikua rahisi kuingia choo cha kike na kutekeleza mauaji bila kuhisiwa, lakini pia aliyeuliwa ni mwanamke ndani ya choo cha kike
2. Mara nyingi mwanamke hawezi kuua bila silaha, kwa makomandoo wachache sana ndo wanaweza
3.........................Hizi ni kazi za kitaalamu kuongea hapa kuwafumbua macho wahalifu
 
Kwani choo ni cha wanawake au wanaume? Ama ni public?

Steve Jobs - Giant Of Technology.
 
Back
Top Bottom