Divele Dikalame
Member
- May 4, 2010
- 77
- 12
kama tunakiri kuwa wakuu wa wilaya wanafanya kazi za ccm, Ndomba alishawahi kuwa mkuu wa wilaya
MANENO ya kuokoteza hayana mpango mzee shimbo alikuwa mtu muadilifu sana jeshini, kosa lake kubwa aliwabana walaji ndio ikawa chuki kubwa dhidi yake, hata Ndomba NI MTU MUADILU SANA kaondoka kule JKT jamaa wanashangilia kwa sababu aliwabana sana walaji.
Asante kwa elimu hii. Hata mimi nilikuwa najiuliza juu ya haya mambo.Jeshi linafanya shughuli zake kwa amri. Mtu mwenye cheo kikubwa hutoa amri na mwenye sheo kidogo analazimika kuipokea hiyo amri. Cheo kikubwa kabisa ni general kinafuatiwa na luten general halafu major general then brigedia, colonel, luten colonel, Major, Captain etc.
Kila wakati jeshi huwa na general mmoja na luten general mmoja. vyeo vingine vinaweza kuwa zaidi ya mmoja. Kwa hiyo kustaafu kwa huyu kunampa nafasi yule anayefuatia kupandoshwa cheo ili kushika nafasi ile na kumpa uwezo wa kutoa amri kwa walio chini yake.
Kwa mfano, Brig. Muhuga angewekwa kuwa mkuu wa JKT bila kupandishwa kuwa Maj. Gen. angepata vikwazo katika kutoa amri kwa mabrigedia wengine waliokuwepo JKT hasahasa kama walijiunga jeshi au kuupata ubrigedia kabla yake.
Hiyo ndiyo sababu ya kupandishwa vyeo wateule hawa wa leo.
Hongera yake, huyu Samuel Ndomba alishawahi kuwa mkuu wangu wa wilaya. Na sasa mtoto wake Allan ni mwanasheria wetu dah!
Haya sasa mbona kimyaaa! Sijasikia la udini? Hii ina re assure imani yangu - pamoja na mapungufu kibao iliyonayo mkulu, sio mdini! Cheki wakuu wa TRA,PCCB, JWTZ, BoT, TSAF, P/Minister, Finance Minister, etc.
Hapoo hahihitajiki Madrasa
mkuu masihara huyu ni mtz afu huu ubaguzi ...labda kama una-jokeDiuh! Kumbe anatokea MALAWI
sasa kama alikuwa muadilifu, matrilioni ya south na hela za askari waliokuwa UN yalitoka wapi? pia sijawahi sikia akikanusha au kutoa maelezo. labda utupe ufafanuzi zaidi
Hongera Ndomba kwa kula shavu jk atampa shimbo kazi ingine
Ndiyo inawezakana kama walikuwa kambi moja na ba mwanaasha!! kwani hukumbi Mramba alikuwa kambi tofauti na huyo dhaifu bin visasi wenu?..hivi inawezekana kweli Chief of Staff wa JWTZ aibe tri 3 bila kuwashirikisha Amiri Jeshi Mkuu, Waziri wa Ulinzi, na Mkuu wa Majeshi??
..inaelekea waTanzania bado hatujajifunza kutokana na kesi za Mahalu na Mramba.
Duh! Nchi Hii Inamambo Mazito SanaKatika vitu ambavyo sijawahi kuviamini hata chembe ni kashfa ya mzee aliyestaafu huyu kuwa alikuwa na trilion 3 south. Wabongo tunapenda sana umbeya kuliko taarifa zilizofanyiwa utafiti wa kina. Huyu mzee maskini kutoa lile tamko kwa niaba ya vyombo vya ulinzi na Usalama imekula kwake mpaka keshokutwa. Ila kwa kuwa sasa amestaafu embu sasa kwa ushahidi anikeni ukwasi alionao huyu mzee. Huyu aliyechukua nafasi yake kwasasa no comment ila kila anayeteuliwa na JK kuna vitu wanafanana sasa hatujui huyu wanafanana kwa lipi