Mambo ya kuchange IMEI hayapo, unachotakiwa uwe umenunua vodaphone then imei yako inatumika kukuunganishia hilo bando na ni mala moja tu kwa kila vodaphone.
So wauni wanachokifanya ni kubashir imei ukipatia imei kama ipo kwenye kampuni ya voda basi lain yako inapewa hzo GB 50, kumi kumi GB kila mwezi
Mi nawasubiri hao hao Vodacom naona watu na roho mbaya zao hawataki wenzao wafaidike watu weusi sijui tumelaaniwaaaaa yaani mtu kutoa mbinu ya kitu Fulani tu anaona unafaaiiiiiidi
Mi nawasubiri hao hao Vodacom naona watu na roho mbaya zao hawataki wenzao wafaidike watu weusi sijui tumelaaniwaaaaa yaani mtu kutoa mbinu ya kitu Fulani tu anaona unafaaiiiiiidi