Waliko lala wao ndiko tulikoamkia sisi.........mgonjwa unaweza kumpeleka india,south africa,na hata uk na bado asipone kabisa,kwa akili zako za kuchoka kwa kumhudumia ukaaza kuomba afe ili uepuke gharama zaidi na matokea yake Mungu kwa makusudi ya ajabu kabisa anamkazisha roho hata miaka 10 ijayo hafi pamoja na umahutiti wake na mwisho wa siku unakufa wewe:
viongozi wa ccm toka kuchomoza kwa chadema na kupendwa na watanzania walio wengi,kila siku wao na wimbo yameguka,mara yafa,mara sasa basi, pamoja na maombi ya kuiua chadema kushindikana wameishia kuua raia wasiokuwa na hatia ili kudhibitisha kauli za mfu,oooh itakufa kabla ya 2013,mwaka umepita chama kipo tu na sasa wamehamia kabla ya mwaka 2014 inakufa,ila mgonjwa huyu ndiyo kwanza anaanza kwenda msalani peke yake, na ole wenu akaze roho mwaka upite 2015 hamtaamini macho yenu, na kama ilivyo ada TULIANZA NA MUNGU NA TUTAMALIZA NA MUNGU nyie endeleeni kumuombea mgonjwa afe