Gazeti la Uhuru: Tamati ya CHADEMA imefikia

Gazeti la Uhuru: Tamati ya CHADEMA imefikia

Ben kinachokufa kinajulikana kijana mwenzangu ni vema taratibu za misiba mkaziandaa chama cha kupigana kwenye vikao hakiwezi kudumu.

Hata kwenye misiba watu hupigana ndugu na msiba unaendelea haya yawezakua ni mapito tu na watavuka!
 
Chanzo cha habari gazeti la uhuru???????=======++++++
Chombo cha habari na propaganda cha maccm????????========++++++
Kuna mtanzania anayesoma gazeti la uhuru?
Kazi ipo.
Sijui hata kama hili gazeti bado lipo.Ila ofisi nyingi za serikali wanashurutishwa
kununua.
 
Ukiona mpizani wako anakuombea kufa ujue ana amani magamba malizieni awamu yenu kwa amani msubiri kwenda keko segerea kupumzika maana kwa ufisadi na kuua tembo madawa ndo vitakavyowapeleka segerea 20150ukombozi wa kweli unaingia

Sent from my kiberiti using JamiiForums
 
Hii kitu ilikuwa na baraka za CCM siku nyingi sana. Pole sana Zitto kabwe, na nafurahi kuona kamati kuu ya chadema wameanza kufanyia kazi my take.
 
Back
Top Bottom