Gazeti la Uhuru: CHADEMA waingiza vijana msituni

Gazeti la Uhuru: CHADEMA waingiza vijana msituni

TCRA MPO? GAZETI LINACHOCHEA VITA LIFungiwe na mwandishi na mhariri wake wakamatwe mara moja wakahojiwe
 
TCRA inatakiwa walichukulie hatua kama wakishindwa thibitisha madai yao.
 
Naona unapoteza kumbukumbu hayo maneno ya kuingia msituni aliyasema komba wa ccm

Umepotea njia fuatilia hii habari alafu uangalie siku mkitoka mnapotoka mnakuja kupambana na nn
 
Aiseeh hili gazeti ni la kufungiwa kabisaa hata miaka kumi kwanza wapeleke waandishi wao shuleni
 
Lile gazeti ambalo mwandishi wake alikula kichapo katika maandamano feki limeendelea na propaganda chafu kuvuruga amani ya nchi.Gazeti la leo uk.5 limeripoti kuwa CHADEMA imeingiza vijana msituni kwa ajili ya kujiandaa kufanya vurugu uchaguzi mkuu.Cha ajabu ni kwamba hata jina la msitu wameshindwa kutaja,kwa kuwa ni kosa la kuhatarisha amani wameshindwa hata kuonyesha kama wameripoti polisi
Si wanaJF wote tuna access ya hicho kijarida. Ungeweza kutusaidia kututundukia hicho kipande cha habari hapahapa katika uzi wako ili tujiridhishe kuwa tunachojadili ni kweli kimetokea.
 
Lile gazeti ambalo mwandishi wake alikula kichapo katika maandamano feki limeendelea na propaganda chafu kuvuruga amani ya nchi.Gazeti la leo uk.5 limeripoti kuwa CHADEMA imeingiza vijana msituni kwa ajili ya kujiandaa kufanya vurugu uchaguzi mkuu.Cha ajabu ni kwamba hata jina la msitu wameshindwa kutaja,kwa kuwa ni kosa la kuhatarisha amani wameshindwa hata kuonyesha kama wameripoti polisi

Niwakumbushe kuwa kwenye maandalizi ya mauaji ya kimbari Rwanda, gazeti la KANGURA chini ya mhariri /mmiliki wake aitwae HASSAN NGEZE lilifanya propaganda za kichochezi kama hizi za gazeti la UHURU. Mwisho wa kesi katika mahakama ya kimataifa ya ICTR jamaa alifungwa kifungo cha maisha. Kama si uchochezi, ni bora wangepeleka taarifa hizo Polisi, na Polisi walete taarifa za kiuchunguzi kwa Umma.
 
Endelea kujitwisha gunia la misumali

Kenya hakuwahi kutokea fuka/ kenge kuiba mali za umma kuhama chama na kugombea uraisi, hakuwahi mtu kufanya haya yanayo jiri hapa infact hayo mawazo ni ya kiwaki! Je unayakumbuka ya LIBYA
 
Back
Top Bottom