Gazeti la The Citizen laomba radhi kwa habari ya 'kushadadia' vita ya Urusi Vs Ukaine

John Haramba

JF-Expert Member
Feb 4, 2022
365
1,373
Gazeti la The Citizen la Jumatano Machi 9, 2022 limeomba radhi kwa kile kilichoandikwa katika habari yao kubwa gazetini hapo ambayo ilitoka Jumatatu Machi 7, 2022.

gold-pic.jpg

Katika The Citizen la Machi 7, ilitoa habari kubwa ambayo ilikuwa na kichwa cha habari kisemacho: “UKRAINE CONFLICT NOT ALL BAD NEWS AS GOLD APPRECIATES”, ambapo ilitafsiriwa na wengi kuwa ni taarifa ambayo inafurahia kinachoendelea katika mataifa ya Urusi na Ukraine huku uuzwaji wa dhahabu ukinda thamani sokoni.

Ndani katika habari hiyo ilieleza kuwa vita inayoendelea Russia-Ukraine inaweza kuwa na faida kubwa kwa Tanzania kwa kuwa soko la dhahabu linapanda bei na kama uzalishaji utafanyika kwa wingi basi kunaweza kuwa na faida kubwa sokoni.

Ikaeleza kuwa bei ya dhahabu imepanda na kufikia dola 2,000.86 katika soko la Asian, bei ambayo ni ya juu zaidi tangu ilipowahi kuwa hivyo Septemba 2020…

Hivyo, kupitia front page ya The Citizen ya leo Jumatano Machi 9, wameomba radhi kwa kuandika:


UFAFANUZI

Katika Gazeti la The Citizen la Jumatatu tuliweka kichwa cha habari katika ukurasa wa mbele kilichosema "Mgogoro wa Ukraine siyo habari mbaya kwa kuwa dhahabu inapanda thamani”.

Taarifa hiyo ilichukuliwa kwa hisia tofauti na kueleweka vibaya na wasomaji wetu ikaonekana tunafanya udhalilishaji kwa kinachoendelea kati ya Urusi na Ukraine.

Tunatoa ufafanuzi kuwa kichwa cha habari na habari yenyewe
hazikukusudiwa kamwe kutukuza vita, au kushangilia
mateso ambayo yanawakumba mamilioni ya watu mpaka sasa.


Tunaomba radhi kwa wateja wetu wapendwa kwa chochote kibaya ambacho kilisababishwa na habari hiyo, Gazeti la The Citizen litaendelea kutenda haki na kuripoti bila upendeleo.

Radhi.jpg


=========================

Habari yenyewe ni hii hapa……


RISE IN GOLD PRICES COULD BE A BLESSING FOR TANZANIA

The rise in gold prices, propelled by investors fleeing to safe haven commodities over the possible impact of the Russia-Ukraine conflict, could be a blessing to Tanzania if the country decides to immediately raise production, market watchers say.

With the war between Russia and Ukraine entering its 12th day yesterday, reports showed that gold prices hit a peak of $2,000.86 in Asian markets, the highest since September 2020.

However, this is happening at a time when figures domestically show that Tanzanian’s gold exports fell by 10.6 percent during the year ending January 2022 compared to the preceding corresponding year.

Bank of Tanzania (BoT) figures show that the country’s gold exports fell to $2.65 billion driven by a slowdown in production from $2.97 billion during a similar period last year.

Minerals minister Doto Biteko said yesterday that Geita Gold Mine (GGM) was developing an underground mine, while Bulyanhulu Gold Mine was developing automation in mining, and thus affecting their production in the short term.

“We are optimistic that upon completion of their work, production of gold will go up significantly,” Dr Biteko told The Citizen by telephone.

Chamber of Mines honorary secretary Frederick Kibodya said it was normal that during time of volatility and uncertainty, people prefer gold as storage of wealthy rather than paper money.

However, he added that to take advantage of strong prices, production and exports need to be increased by streamlining both production and export processes.

This, according to Mr Kibodya, could be done through increasing both human and non-human resources in production, speeding up approvals and reducing bureaucracy.

“Countries with robust systems to respond fast will be in a position to take full advantage of rising prices,” he said.

His sentiments were echoed by the Vice President Sustainability at AngloGold Ashanti, Mr Simon Shayo, who said the government should at all times be ready to respond to any challenges.

He said Tanzania could take advantage of the rise in prices with a long-term view.

For this to happen, a more predictable business environment is needed to attract more investment in the sector.

“A stable and predictable business climate in terms of policy, legislation and regulatory frameworks are key if we are to enjoy the benefits of the boom in gold prices,” noted Mr Shayo.

Another mining stakeholder speaking on condition of anonymity said in the short-term there was nothing Tanzania could do to respond to the surge in gold prices.

“This is a wake-up call for us to create a conducive environment for exploration so that we can always have data of the available mineral reserves,” he said.

He said with research on exploration, the government could be able to respond to rising prices by attracting investors to come and start mining, instead of exploration, which could take up to four years.

“The government should create an enabling environment for the private sector to invest in research exploration. This will in turn enhance the availability of data and expedite the issuance of mining licences.”

Dr Biteko said in response that the government was doing all in its power to improve the business environment.

“The question of bureaucracy and delays in the issuance of export permits is now a thing of the past,” he noted.

He said if all documents were intact, blockers and dealers could get mineral export permits in less than a day, an improvement compared to the previous average of seven days.

Unlike to those old days, minister Biteko said, now in every market there was government officials to sign permits on a daily basis.

Previously, Dr Biteko revealed, there was only one person for the job and was signing the permits only on Friday of a week.

Citizen front.jpg
 
Gazeti la The Citizen la Jumatano Machi 9, 2022 limeomba radhi kwa kile kilichoandikwa katika habari yao kubwa gazetini hapo ambayo ilitoka Jumatatu Machi 7, 2022.

Katika The Citizen la Machi 7, ilitoa habari kubwa ambayo ilikuwa na kichwa cha habari kisemacho: “UKRAINE CONFLICT NOT ALL BAD NEWS AS GOLD APPRECIATES”, ambapo ilitafsiriwa na wengi kuwa ni taarifa ambayo inafurahia kinachoendelea katika mataifa ya Urusi na Ukraine huku uuzwaji wa dhahabu ukinda thamani sokoni.

Ndani katika habari hiyo ilieleza kuwa vita inayoendelea Russia-Ukraine inaweza kuwa na faida kubwa kwa Tanzania kwa kuwa soko la dhahabu linapanda bei na kama uzalishaji utafanyika kwa wingi basi kunaweza kuwa na faida kubwa sokoni.

Ikaeleza kuwa bei ya dhahabu imepanda na kufikia dola 2,000.86 katika soko la Asian, bei ambayo ni ya juu zaidi tangu ilipowahi kuwa hivyo Septemba 2020…

Hivyo, kupitia front page ya The Citizen ya leo Jumatano Machi 9, wameomba radhi kwa kuandika:


UFAFANUZI

Katika Gazeti la The Citizen la Jumatatu tuliweka kichwa cha habari katika ukurasa wa mbele kilichosema "Mgogoro wa Ukraine siyo habari mbaya kwa kuwa dhahabu inapanda thamani”.

Taarifa hiyo ilichukuliwa kwa hisia tofauti na kueleweka vibaya na wasomaji wetu ikaonekana tunafanya udhalilishaji kwa kinachoendelea kati ya Urusi na Ukraine.

Tunatoa ufafanuzi kuwa kichwa cha habari na habari yenyewe
hazikukusudiwa kamwe kutukuza vita, au kushangilia
mateso ambayo yanawakumba mamilioni ya watu mpaka sasa.


Tunaomba radhi kwa wateja wetu wapendwa kwa chochote kibaya ambacho kilisababishwa na habari hiyo, Gazeti la The Citizen litaendelea kutenda haki na kuripoti bila upendeleo.

=========================

Habari yenyewe ni hii hapa……


RISE IN GOLD PRICES COULD BE A BLESSING FOR TANZANIA

The rise in gold prices, propelled by investors fleeing to safe haven commodities over the possible impact of the Russia-Ukraine conflict, could be a blessing to Tanzania if the country decides to immediately raise production, market watchers say.

With the war between Russia and Ukraine entering its 12th day yesterday, reports showed that gold prices hit a peak of $2,000.86 in Asian markets, the highest since September 2020.

However, this is happening at a time when figures domestically show that Tanzanian’s gold exports fell by 10.6 percent during the year ending January 2022 compared to the preceding corresponding year.

Bank of Tanzania (BoT) figures show that the country’s gold exports fell to $2.65 billion driven by a slowdown in production from $2.97 billion during a similar period last year.

Minerals minister Doto Biteko said yesterday that Geita Gold Mine (GGM) was developing an underground mine, while Bulyanhulu Gold Mine was developing automation in mining, and thus affecting their production in the short term.

“We are optimistic that upon completion of their work, production of gold will go up significantly,” Dr Biteko told The Citizen by telephone.

Chamber of Mines honorary secretary Frederick Kibodya said it was normal that during time of volatility and uncertainty, people prefer gold as storage of wealthy rather than paper money.

However, he added that to take advantage of strong prices, production and exports need to be increased by streamlining both production and export processes.

This, according to Mr Kibodya, could be done through increasing both human and non-human resources in production, speeding up approvals and reducing bureaucracy.

“Countries with robust systems to respond fast will be in a position to take full advantage of rising prices,” he said.

His sentiments were echoed by the Vice President Sustainability at AngloGold Ashanti, Mr Simon Shayo, who said the government should at all times be ready to respond to any challenges.

He said Tanzania could take advantage of the rise in prices with a long-term view.

For this to happen, a more predictable business environment is needed to attract more investment in the sector.

“A stable and predictable business climate in terms of policy, legislation and regulatory frameworks are key if we are to enjoy the benefits of the boom in gold prices,” noted Mr Shayo.

Another mining stakeholder speaking on condition of anonymity said in the short-term there was nothing Tanzania could do to respond to the surge in gold prices.

“This is a wake-up call for us to create a conducive environment for exploration so that we can always have data of the available mineral reserves,” he said.

He said with research on exploration, the government could be able to respond to rising prices by attracting investors to come and start mining, instead of exploration, which could take up to four years.

“The government should create an enabling environment for the private sector to invest in research exploration. This will in turn enhance the availability of data and expedite the issuance of mining licences.”

Dr Biteko said in response that the government was doing all in its power to improve the business environment.

“The question of bureaucracy and delays in the issuance of export permits is now a thing of the past,” he noted.

He said if all documents were intact, blockers and dealers could get mineral export permits in less than a day, an improvement compared to the previous average of seven days.

Unlike to those old days, minister Biteko said, now in every market there was government officials to sign permits on a daily basis.

Previously, Dr Biteko revealed, there was only one person for the job and was signing the permits only on Friday of a week.

View attachment 2144508

View attachment 2144509
wamemuogopa putin
 
Back
Top Bottom