Ukisoma gazeti la Tazama utacheka. Gazeti zima linaitetea Dowas na Lowassa. Mtanzania na mengine ya Rostam yanaitetea Dowans na Lowassa pia. Hii inaondoa mashaka kuwa Lowassa na Rostam ndio wenye Dowans wakisaidiwa na JK. Hiyo ya kusema Dowans inasamehe ni JK amewaeleza wafanye hivyo kwani amabanwa kisiasa. Nchi hii tunafanya mambo kama mchezo wa kuigiza.