mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Wana jamvi,
Kama kuna vyombo vya habari vilivyokuwa vinaaminika ni gazeti la Raia Tanzania, sasa litaanza kufungia vitumbua kama Uhuru baada ya kutegemea uzushi wa facebook na instagram, sijui hawa waandishi wamewaokoteza wapi, au ni wale machangu wa kinondoni maana sehemu ofisi zao zilipo ndio station yao.
Au taarifa hizi wanazipata kwenye mabaa yaliyowazunguka maana waandishi wake, usipowakuta MK Grand, utawakuta Mango gardern, AM Guest and Bar, au Uhuru Peak Baa, sitashangaa sana kuona wanapotosha taaluma zao za weledi.
Raia Tanzania mnashauliwa kuajiri wanahabari wanajijari kuliko kuleta habari za ushabiki wa baa zilizowazunguka.
Taarifa feki inayotokana na gazeti la Raia Mwema hii hapa
Kama kuna vyombo vya habari vilivyokuwa vinaaminika ni gazeti la Raia Tanzania, sasa litaanza kufungia vitumbua kama Uhuru baada ya kutegemea uzushi wa facebook na instagram, sijui hawa waandishi wamewaokoteza wapi, au ni wale machangu wa kinondoni maana sehemu ofisi zao zilipo ndio station yao.
Au taarifa hizi wanazipata kwenye mabaa yaliyowazunguka maana waandishi wake, usipowakuta MK Grand, utawakuta Mango gardern, AM Guest and Bar, au Uhuru Peak Baa, sitashangaa sana kuona wanapotosha taaluma zao za weledi.
Raia Tanzania mnashauliwa kuajiri wanahabari wanajijari kuliko kuleta habari za ushabiki wa baa zilizowazunguka.
Taarifa feki inayotokana na gazeti la Raia Mwema hii hapa