Walizoea Status quo. Just business as usual. Walitegemea tungeteteleka.Ila ACACIA wana mambo ya kitoto sana, wakaanza na yale yale ya mlungula, kupindisha maneno, kuleta za kuleta humu na magazetini, Raia wapi, tumechachamaa wizi wizi, wakazidisha kwa wanasheria uchwara, oohh tutashitakiwa sijuwi nini, raia wapi, duh, wakaona maji mazito, kumbe kweli dola ya TZ sio kamaa ya siku zile, wakafyata, wakaja tukae chini...hahahaha, balaa kabisa, sasa hii ita send message to all those corporations in TZ, that the wind has changed, the people have changed, it has be a win win situation on both parties, otherwise wapeleke upupu wao kwingine watuachie rasilimali na maliasili, haziozi bana, wakija vizuri poa tu, ila si kihivi..
Una pointi though.hakuna kufurahia ujinga huu kwa kumpata mwizi mmoja tuu
Japokuwa mafanikio ni ya Watanzania wote bila kujali vyama. Tukifika hapo na kujielewa taifa litapona. Ama vipi mkuu?Hata Siku moja mbwa hawezi kuwa mkali bila ya mafunzo ya mwenye mbwa. Hivyo huwezi tenganisha mafanikio ya jpm na ccm.
Shukrani. Ni kuelimishana tu mkuu.Safi sana mkuu kwa hiyo taarifa yako wengi hawafahaamu,wanacho jua wao ni kubishana tu huku mitaani
Mkuu nangoja jibu.Unaweza kufafanua maana ya DEBE TUPU?
Na bado WATAISOMA zaidi iwe clear kabisaaaaaa!Wengi wameisoma namba mpaka Wazungu wameisoma pia
Asante Magu
Kwa upande wa kuujenga uchumi unajua sana
Nafikiri hilo ni jibu sahihi. huenda pia amekupata.Ameshaanza kulipa anamalizia.
Mkuu fafanua tu ili kutusaidia wengine. Umejibu kimafumbo sijakuelewa. Samahani lakini.Choo yazamani hainuki !
Kwa hiyo unataka Sifa ziende Chagademus & Pliers?Mna mwaribu Rais Wetu kwa kumpa sifa Asizo zistahili
Una maana ipi?Kachilu nimekusoma
Kina nani? Waingereza ama Wazimbabwe?Hata Zimbabwe walianza kuandika hivyo hivyo!
Believe me watabadilika tu na kuwa wachapa kazi!Ni kweli Mzee anachapa kazi.I wish wote walio chini yake wayajue na kuyashika maono yake.
Nakubaliana nawe. Inawezekana sana.Believe me watabadilika tu na kuwa wachapa kazi!
Nimekumbuka jambo lingine. Magazeti yetu nayo yaweze kuwa CHANYA si Negative reporting tu isiyojenga.Bora gazeti hilo kuliko,kuliko magazeti yetu mengine ambayo kutwa kuchwa ni kumchora akiwa kichwa kimechongoka.
AMUN RANakubaliana nawe. Inawezekana sana.
AMUN RA
AMUN RA