- Thread starter
- #301
Mkuu, Picha ya Magazine/Gazeti hilo IPO hapo juu. Toleo la Mwezi huu wa 6/ June.Ni toleo lipi la hilo gazeti?
Mkuu, Picha ya Magazine/Gazeti hilo IPO hapo juu. Toleo la Mwezi huu wa 6/ June.Ni toleo lipi la hilo gazeti?
Post ya kwanza haikuwa na picha ya hilo gazeti. Lakini mtu mwingine akaweka kama Msamaria mwema. Maana mimi sikukumbuka kupiga picha. Ukifungua post juu utaiona mkuu. Ahsante.Ni toleo lipi la hilo gazeti?
Hata hivyo aliouvunja MKATE macho yao YAKAFUNGUKA.Wewe ni mgeni mji huu wa Nazareth Hata hujui yanayotendeka?!?
Ninakuelewa kuwa ni vizuri nasi TUFAIDIKE.Kwenye hili la makinikia lipo poa, Na tubadili Sheria tuchukuwe zaidi ya 4% ya mapato ya madini, ingefaa 51% hivi. Lkn haya yote iwe kwa manufaa ya WaTZ maana hali ngumu madeni ya watumishi hayalipwi, increments hakuna. Hatari sana