Mara nyingi huwa nanunua magazeti asubuhi na ninanunua mwananchi, Tanzania Daima na mara chache Nipashe na Mtanzania...Sasa Leo nilichelewa sana kununua magazeti kwani nilichelewa kutoka kanisani na nikapitia kwenye majukumu mengine....
Nilipofika kwa muuza magazeti (around saa 9 alasiri) nikakuta kuna copy moja tu ya Tanzania Daima nikaimalizia....Muuza magazeti akaniambia alikuwa na copies 100 na nililochukua copy ya mwisho ila kwa upande wa gazeti la Mzalendo alikuwa na copies 5 tu lakini mpaka wakati huo zilikuwa zimenunuliwa copies tatu tu !
Watu wanaomini propaganda za CCM kupitia magazeti yao ni wachache sana.......Watu wengi, wanacheza tune ya mabadiliko !
Nilipofika kwa muuza magazeti (around saa 9 alasiri) nikakuta kuna copy moja tu ya Tanzania Daima nikaimalizia....Muuza magazeti akaniambia alikuwa na copies 100 na nililochukua copy ya mwisho ila kwa upande wa gazeti la Mzalendo alikuwa na copies 5 tu lakini mpaka wakati huo zilikuwa zimenunuliwa copies tatu tu !
Watu wanaomini propaganda za CCM kupitia magazeti yao ni wachache sana.......Watu wengi, wanacheza tune ya mabadiliko !