Gazeti la Mzalendo Ladoda

Gazeti la Mzalendo Ladoda

jebibay

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2012
Posts
1,431
Reaction score
642
Mara nyingi huwa nanunua magazeti asubuhi na ninanunua mwananchi, Tanzania Daima na mara chache Nipashe na Mtanzania...Sasa Leo nilichelewa sana kununua magazeti kwani nilichelewa kutoka kanisani na nikapitia kwenye majukumu mengine....

Nilipofika kwa muuza magazeti (around saa 9 alasiri) nikakuta kuna copy moja tu ya Tanzania Daima nikaimalizia....Muuza magazeti akaniambia alikuwa na copies 100 na nililochukua copy ya mwisho ila kwa upande wa gazeti la Mzalendo alikuwa na copies 5 tu lakini mpaka wakati huo zilikuwa zimenunuliwa copies tatu tu !

Watu wanaomini propaganda za CCM kupitia magazeti yao ni wachache sana.......Watu wengi, wanacheza tune ya mabadiliko !
 
Mtachonga wee. Tanzania Daima litakufa kama Mfanyakazi na Shaba. Udaku haudumu
 
Mara nyingi huwa nanunua magazeti asubuhi na ninanunua mwananchi, Tanzania Daima na mara chache Nipashe na Mtanzania...Sasa Leo nilichelewa sana kununua magazeti kwani nilichelewa kutoka kanisani na nikapitia kwenye majukumu mengine....

Nilipofika kwa muuza magazeti (around saa 9 alasiri) nikakuta kuna copy moja tu ya Tanzania Daima nikaimalizia....Muuza magazeti akaniambia alikuwa na copies 100 na nililochukua copy ya mwisho ila kwa upande wa gazeti la Mzalendo alikuwa na copies 5 tu lakini mpaka wakati huo zilikuwa zimenunuliwa copies tatu tu !

Watu wanaomini propaganda za CCM kupitia magazeti yao ni wachache sana.......Watu wengi, wanacheza tune ya mabadiliko !

Jamaa yangu alikua na pc 100 za mzalendo kazimaliza zote!
 
daily kuandika umbeya wa kumhusu Lowassa na ukawa. hata wanaonunua ni lazima watakuwa makada wa chama na si vinginevyo
 
Mimi nanunua sana gazeti la mzalendo kwa ajili ya ufugaji wavifaranga. Hilo gazeti huwa natumia kulazia kuku na watoto wake.
 
Nimegundua hata makada wa ccm hawanunui mzalendo. wanasema linaandika urongo mtupu. huwa wananunua Tanzania Daima kwa habari na sera za ukweli.

Kada mmoja amekiri yeye na makada wenzake wako ccm mguu mmoja ndani mwingine ukawa. Kinachowabakiza huko kwa sasa ni pochi.
 
Mzalendo hovyooo. Nadhani waandishi wake hawajabalehee au kuvunja ungo! Utaandikaje uongo na trivial issues ukaacha mambo muhimu na ya ukweli huku watu wameyaona mambo hayo peupeee kupitia TV na hata kuwepo eneo la tukio! Litabaki kuwa gazeti la kusaidia mafundi kupigia rangi magari gereji!
 
Mpinga shetani ni shetani mwenyewe,
utamjuaje shetani kama wewe si shetani?!
Utasubiri sana kulikosa Tz Daima sokoni; lile ni wakala wa mabadiliko, halifiii! Bs

Mtachonga wee. Tanzania Daima litakufa kama Mfanyakazi na Shaba. Udaku haudumu
 
yes mkuu....saa 7 hukuti mwananchi Na tz daima

Mwananchi walitaka kujichanganya kipindi cha nyuma kwa kuandika habari za kuifagilia ccm gazeti lao likaanza kudoda,walikula hasara sana wakaona isiwe tabu waendane na mabadiliko wanayotaka wananchi ndo sasa wanauza sana gazeti lao na wamekoma kabisa kuandika propaganda za ccm maana ilibaki kidogo tu mwananchi litoweke mitaani,amini usiamini,magazeti ya serikali yote yana survive tu kwa kuwa yana ruzuku kubwa sana lakini ingekuwa yanajiendesha menyewe kwa kutegemea mauzo yangekuwa yameshatoweka yote,serikali imeamua kuyachapisha kwa gharama zake japokuwa inakula hasara ili kuepuka fedheha kubwa,huwa hayanunuliki hata wana ccm wenyewe wananunua magazeti ya mabadiliko.
 
Mwananchi walitaka kujichanganya kipindi cha nyuma kwa kuandika habari za kuifagilia ccm gazeti lao likaanza kudoda,walikula hasara sana wakaona isiwe tabu waendane na mabadiliko wanayotaka wananchi ndo sasa wanauza sana gazeti lao na wamekoma kabisa kuandika propaganda za ccm maana ilibaki kidogo tu mwananchi litoweke mitaani,amini usiamini,magazeti ya serikali yote yana survive tu kwa kuwa yana ruzuku kubwa sana lakini ingekuwa yanajiendesha menyewe kwa kutegemea mauzo yangekuwa yameshatoweka yote,serikali imeamua kuyachapisha kwa gharama zake japokuwa inakula hasara ili kuepuka fedheha kubwa,huwa hayanunuliki hata wana ccm wenyewe wananunua magazeti ya mabadiliko.

Kuna mambo mawili yalifanya waanze kuipendelea CCM

1: kipindi kile walifungiwa kwa kiasi fulani walitishika na serikali ikabidi wanywee waanze kuipendelea CCM!

2: wakati wa sakata la Zitto na CHADEMA alikuwepo mhariri mmoja namkumbuka kwa jina moja la Malisa, akikuwa ni swahiba mkubwa wa Zitto na pia ni mtumishi wa kitengo, huyj bwana kwa kutumia wadhifa wake wa uhariri alianza kuihujumu CHADEMA na kumpendeleq Zitto na CCM

Hata hivyo baada ya siku chache alitimuliwa kazi na sasa yupo New habari Corporations ambako nina uhakika kule nako yupo kwny wakati mgumu sana baada ya Lowassa kujiunga na CHADEMA!???
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom