Safi Mkuu. Mimi nakata tano. Nanunua j'tano na j'pili tu.
Hahahaha mkuu mbavu sina! Very professional hii approach ya kuadjust na price zao. Mi pia nakopy ya kwako.
Safi Mkuu. Mimi nakata tano. Nanunua j'tano na j'pili tu.
Wadau wa JF.
Nimesoma gazeti la Mwananchi la leo Januari 31, wanawataarifu kuwa kuanzia Februari mosi bei itakuwa Sh800 kutoka Sh500.