Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,711
- 1,914
Ndugu zangu wana JF mtu akifanya kazi nzuri anastahili pongezi. Tena ikiwa kazi ya utaalam anapewa award. Hili gazeti la mwana halisi linafanya kazi nzuri kabisa,hata kama ni biashara, maana linafanya watu in certain quarters hawalali.
Hiyo inaitwa investigative journalism ya Bwn Kubenea and company.
Hivyo nawaomba wana JF Hawa vijana tuwatie moyo kwa kazi hii ya kujituma na risk. Kumbuka yeye na Ndg yangu Ndimara waliwahi kumwagiwa tindi kali!!!!!!! Huo sio utani maana yake ilikuwa nia ya wahujumu ni kuwapofusha macho ili wasione waache kuandika. Lakini wanazidi kufukua uozo zaidi na hawana woga wa kutaja mafisadi wahusika moja kwa moja.
Isiwe wanapigana vita ya peke yao kumbe tutafaidi Watanzania wote tukishinda, bila kujali dini kabila wala chama cha siasa. Tuwapongeze tafadhari tubuni mbinu ya kuwatia moyo!!!!!!!!!!!!!!!! (Soma; Mwana Halisi Na.227 Juma Tano Feb 2-8, 2011)
Hiyo inaitwa investigative journalism ya Bwn Kubenea and company.
Hivyo nawaomba wana JF Hawa vijana tuwatie moyo kwa kazi hii ya kujituma na risk. Kumbuka yeye na Ndg yangu Ndimara waliwahi kumwagiwa tindi kali!!!!!!! Huo sio utani maana yake ilikuwa nia ya wahujumu ni kuwapofusha macho ili wasione waache kuandika. Lakini wanazidi kufukua uozo zaidi na hawana woga wa kutaja mafisadi wahusika moja kwa moja.
Isiwe wanapigana vita ya peke yao kumbe tutafaidi Watanzania wote tukishinda, bila kujali dini kabila wala chama cha siasa. Tuwapongeze tafadhari tubuni mbinu ya kuwatia moyo!!!!!!!!!!!!!!!! (Soma; Mwana Halisi Na.227 Juma Tano Feb 2-8, 2011)